Hilo lilisababushwa na wachezaji wetu wapumbavu waliolipwa na utopolo kuikomoa timu ili msimu ukianza wao wasajiliwe yanga.Sema maneno yake mengi ,huhamasisha zaidi upande wa pili kuliko simba yenyewe,hajui kucheza na pschology,Kumbuka mechi ya Prisons alivyomuongelea Samson Mbangula na kilichotokea uwanjani.