Harakati za Ben Saanane kupambana na Rais Magufuli, ni njia sahihi ya kuwaridhisha wafadhili wake?

Harakati za Ben Saanane kupambana na Rais Magufuli, ni njia sahihi ya kuwaridhisha wafadhili wake?

We unatetea nini? Naona pia bado tunaendeleza uzi ule ule kwamba tujibizane kwa hoja za kitotto.

Hivi kweli kunayo haja ya kuyaeleza haya hapa?
Aisee ugali mwingine ni kama kulazimishwa kula kaa la moto
 
kinakushangaza nini wakati JK alisema ccm ina kundi la vijana 46 mitandaoni,watu 46,mnapigwa na mtu mmoja,ben saanane
Halafu amejaribu kutumia jina kubwa la BEN SAANANE ili kupata airtime , hakuna chochote cha maana alichoandika hapa .

Nimejua kwanini wenzake wanateuliwa yeye anaendelea kupuyanga humu jf , ana uwezo mdogo sana , halafu hakubaliki , utakumbuka kwamba alikuja na ngonjera ya Luhwavi ?
 
Mwanzoni mwa mwaka huu, niliweka taarifa kwenye mitandao ya kijamii hususan hapa Jamiiforums juu ya Mkuu wa Sera na Utafiti CHADEMA, Ben Saanane kununuliwa vitendea kazi kama simu, kompyuta mpakato, ipad, tablets na zana nyingine. Nilieleza kuwa aliyemnunulia vitu hivyo ni Edward Lowasa. Nilitoa sababu za Lowasa kufanya hivyo ni kutaka Mkuu huyo wa Sera na Utafiti afanye kazi ya kumsafisha Lowasa kwenye mitandao ya kijamii lakini pia amshambulie Rais Magufuli ili tunapoingia 2020, asiaminike tena. Nilieleza kuwa Ben na Lowasa wamekubaliana kuwa malipo ya kazi hiyo ni milioni 4 kwa mwezi.

Kwenye uzi ule, nilieleza bayana kuwa Ben Saanane amepangiwa ofisi ya kufanyia kazi hiyo katika sehemu ambapo sikubainisha kwenye mtandao kutokana na sababu za kimkakati.

Hata hivyo, baada ya uzi ule kuwekwa, Ben Saanane alikosa uvumilivu. Aliishia kuporomosha lugha zilizokosa staha kwa lengo la kushinikiza mods waufute. Alifanikiwa. Uzi ule ukaenda na maji. Leo mdogo wangu Ben namuomba awe mvumilivu ili tujadili kwa staha.

Miezi 5 imepita sasa tangu Ben Saanane anunuliwe. Matunda ya uwekezaji ule yameanza kuonekana. Ben Saanane na genge lake wameanza mashambulizi dhidi ya Rais kwa hoja ambazo kimsingi hazina mashiko.

Ben Saanane na genge lake wameshindwa kabisa kuona udhaifu wa Rais Magufuli kiutendaji na badala yake wanaegemea kwenye mipasho na mapambio. Wanafanya siasa za kuvizia. Niliwahi kuanzisha mada humu kwamba, ikitokea Rais akawa bubu, je CHADEMA watakuwa na ajenda zipi?

Tathmini yangu ya muda mfupi imebaini kwamba, hoja zinazojengwa na Ben Saanane na genge lake zinategemea nini Rais anaongea. Kwa maana utendaji wa Rais uliotukuka unasababisha Ben Saanane na Genge lake wakose hoja za kumkosoa. Hata kama wanapojaribu kukosoa utendaji, wanakosoa kwa hoja dhaifu. Mathalan, ziliponunuliwa ndege mpya mbili aina ya Bombadier Q400, walijenga hoja za kitoto eti ndege hizo hazina mwendo. Mara wanasema ni mapangaboi. Mara wanasema eti water salute haikufanyika kisawasawa. Almradi wanawaonesha wafadhili wao kuwa wametimiza wajibu wao. Utoto.

Uwezo wa vijana wa CHADEMA katika kujenga hoja ni mdogo. Kuna wakati Lusinde aliwahi kuwaambia kuwa akili zao zimeshikiliwa na Mbowe na ndio maana wanawaza kimbowembowe tu.

Hata hivyo, najaribu kuwaza, je kazi anayofanya Ben Saanane na genge lake inatosheleza matakwa ya wafadhili wake? Je watafanikiwa kushusha morali ya Rais Magufuli katika kuwatumikia wananchi? Je watakwamisha juhudi kubwa zinazofanywa na Rais Magufuli katika kutekeleza ilani ya CCM? Thubutu! Rais ameapa kuwa hakuna atakayekwamisha utekelezaji wa Ilani ya CCM. Ben Saanane na Genge lake wataishia kujadili water salute, kuomba Salary Slip ya Rais na kujipongeza kutokana na kauli ya Rais kuwa anatamani malaika afungie mitandao ya kijamii kwa mwaka mmoja ili itakapofunguliwa wakute Tanzania imepaa.

Nimhakikishie Rais wangu kuwa, hawa wapiga kelele mitandaoni hawatafanikiwa kukwamisha harakati zako za kuwaletea maendeleo wananchi. Waache wapige kelele. Wewe piga kazi. Mwisho wa siku kelele zao zitageuka kuwa kicheko kwako. Watanzania tuna imani kubwa kwako. Kazi unayofanya inapokelewa kwa mikono miwili na Watanzania. Utafiti wa Twaweza unabainisha kuwa 96% ya Watanzania wanakulibali. Endelea kupiga kazi ili ifikapo 2020, wapinzani waone aibu kumsimamisha mgombea Urais kupambana na wewe.

Hoja za Ben ni zipi na ni kwa kiasi gani ni za uongo?

Ukweli ni upi sasa badala yake ili uli replace uongo wa Ben?

Na nimejiuliza sana kuhusu hili, kwamba, Ben kanunuliwa sijui nini na nini na Edward Lowassa na pia analipwa TZS 4,000,000 kwa mwezi ili afanye vyema kazi yake ya "kumchafua" Rais John Magufuli.

Sasa, what is your problem with that? Wewe yanakuhusu nini hayo makubaliano ya watu wawili? Je, unamuonea wivu kwa sbb analipwa milioni 4 na kanunuliwa hivyo vitu?

Na, kama "Rais Mtukufu " anachafuliwa si kazi yenu kuhakikisha mnamsafisha kwa omo na kumpaka manukato ili anukie?

Hebu CCM acheni kulalamika kijinga jinga hivi wakati mna nyenzo zote za kuhakikisha Rais wenu hachafuliwi!!

Na nikukumbushe tu kuwa kuchafuliwa is not a big deal at all. Ishu na tatizo ni kutukana. Na kama anatukanwa na Ben kwa maana ya sifa ya kutukana kwelikweli, tunazo sheria zetu na kwa hiyo tuache zichukue mkondo wake!!

Vinginevyo ni hivi:

Rais Magufuli anajenga mazingira ya kukosolewa yeye mwenyewe kwa kauli na matendo yake ambapo kwa tafsiri yako hapa ni "kuchafuliwa".

Na kumbuka tu kuwa, kazi ya vyama vilivyo nje ya serikali (vya upinzani) ni kutafuta makosa na udhaifu wa chama na viongozi wake walioshika hatamu za uongozi wa serikali na kuyasema. Ni kazi ya wanaokosolewa kujitetea na kusema ukweli na kuonesha uhalisia wa wanachofanya!!

Usitegemee ulete ndege za mapanga boi, uambiwe "that's very good" na badala yake utaambiwa "that's nothing" tunataka kuona unaleta Airbus 380 au Boieng 787 nk nk. Pia tutakuambia kuna ufisadi katika mchakato wa manunuzi kwa sbb sheria ya manunuzi haikufuatwa!!

Sasa kama huko ni kuchafuliwa, ategemee kuchafuliwa sana na hadi ifikapo mwaka 2020 mwili mzima utakuwa umetapakaa matope tu!!

Zingatieni hilo na mshaurini kuhusu hayo basi!!

Halafu unajua nini Lizaboni?

Very unfortunately, Rais wenu kajifungia mlango mwenyewe wa kujitangazia "usafi wake" kwa kujipa mamlaka yasiyo yake kwa kuvunja katiba kwa kupiga marufuku mikutano ya kisiasa nchi nzima kwa kigezo cha eti apate muda wa kuwaletea watu maendeleo!!....

It sounds pathetic, au siyo bibie!!??

Hakutambua kuwa kwa kufanya vile kajifungia mlango yeye mwenyewe na chama chake cha siasa a.k.a CCM huku akidhani kawafungia wapinzani wake!!

Kwa sbb unaonaje serikali ingeendelea na majukumu yake kama serikali na wakati huohuo CCM kikichanja mbuga kueneza mazuri ya serikali hata kama upande wa pili (upinzani) nao ukiwa unachanja mbuga kuziponda zile "bombadia mapanga shaa?"

Yes, si mwisho wa siku waamuzi wa hayo yote ni wananchi bhana? Ni wazi hawa ndiyo walio ktk position nzuri ya kumtambua mwongo ni nani na mkweli ni yupi!!

Lakini CCM na serikali inayoiongoza ni waoga kweli kweli kuingia ktk uwanja wa mapambano, mkiambiwa hayo mnayofanya siyo, mnaitwa watu wachochezi na wanao mchafua Rais, kumbe maskini nguruwe mwenyewe ndiye kachomeka kichwa kwenye tope!!
 
Lizaboni yaani wewe una mawazo finyu mno mbona umeongea pumba tupu hivi huoni JPM anavyofeli? Msaidieni kuanzisha viwanda huku akiua sekta ya kilimo
Amefeli katika hoja zipi? Unafikiri kuanzisha viwanda ni kama kupanda ndege kwenda Dubai?
 
Halafu amejaribu kutumia jina kubwa la BEN SAANANE ili kupata airtime , hakuna chochote cha maana alichoandika hapa .

Nimejua kwanini wenzake wanateuliwa yeye anaendelea kupuyanga humu jf , ana uwezo mdogo sana , halafu hakubaliki , utakumbuka kwamba alikuja na ngonjera ya Luhwavi ?
Ni lini Ben Saanane limekuwa jina kubwa? Nakumbuka tulivyokuwa tunapambana na akina Dr Slaa, John Mnyika na wengineo. Beni Saanane hakuwa miongoni mwao.
 
Amefeli katika hoja zipi? Unafikiri kuanzisha viwanda ni kama kupanda ndege kwenda Dubai?
Hivyo viwanda vitatoa wapi mali ghafi? Kama zitatoka nje hivyo viwanda vitakuwa na faida gani kwa wananchi maskini wa kule vijijini?
 
Ni lini Ben Saanane limekuwa jina kubwa? Nakumbuka tulivyokuwa tunapambana na akina Dr Slaa, John Mnyika na wengineo. Beni Saanane hakuwa miongoni mwao.
Sasa hofu yako ya kumtaja mwanzo wa uzushi wako hadi nukta ya mwisho ni nini ? Huyu ni kiongozi wa Chadema Makao Makuu , wewe ni nani Lumumba ?
 
Lowassa Alipokuwa akitukanwa Ni Mfu Mtarajiwa, Kajinyea Mwenye Umahututi, Magufuli alisema Mwacheni? Si alikenyua Meno na Kuwapigia makofi? Mtu mzima angewapiga hawa Makofi. Hii Ni Trailer tu, Malipo ya Uovu yako duniani, Magufuli hajaona hata 1/8 ya Kusemwa na Kupingwa Bado, Atamaliza Muda wake kama akijaliwa, amekonda kama Kijiti kwa Kuwa na Ngozi laini Kama ya Konokono, Lakini Kusema na Kusingizia Wenzake Uwongo hajali. Be able to eat what you dish to others other wise 12417 away
Angalia usimponze Invisible kutakiwa kutoa maelezo kule mahali! .
Pasco
 
Mwanzoni mwa mwaka huu, niliweka taarifa kwenye mitandao ya kijamii hususan hapa Jamiiforums juu ya Mkuu wa Sera na Utafiti CHADEMA, Ben Saanane kununuliwa vitendea kazi kama simu, kompyuta mpakato, ipad, tablets na zana nyingine. Nilieleza kuwa aliyemnunulia vitu hivyo ni Edward Lowasa. Nilitoa sababu za Lowasa kufanya hivyo ni kutaka Mkuu huyo wa Sera na Utafiti afanye kazi ya kumsafisha Lowasa kwenye mitandao ya kijamii lakini pia amshambulie Rais Magufuli ili tunapoingia 2020, asiaminike tena. Nilieleza kuwa Ben na Lowasa wamekubaliana kuwa malipo ya kazi hiyo ni milioni 4 kwa mwezi.

Kwenye uzi ule, nilieleza bayana kuwa Ben Saanane amepangiwa ofisi ya kufanyia kazi hiyo katika sehemu ambapo sikubainisha kwenye mtandao kutokana na sababu za kimkakati.

Hata hivyo, baada ya uzi ule kuwekwa, Ben Saanane alikosa uvumilivu. Aliishia kuporomosha lugha zilizokosa staha kwa lengo la kushinikiza mods waufute. Alifanikiwa. Uzi ule ukaenda na maji. Leo mdogo wangu Ben namuomba awe mvumilivu ili tujadili kwa staha.

Miezi 5 imepita sasa tangu Ben Saanane anunuliwe. Matunda ya uwekezaji ule yameanza kuonekana. Ben Saanane na genge lake wameanza mashambulizi dhidi ya Rais kwa hoja ambazo kimsingi hazina mashiko.

Ben Saanane na genge lake wameshindwa kabisa kuona udhaifu wa Rais Magufuli kiutendaji na badala yake wanaegemea kwenye mipasho na mapambio. Wanafanya siasa za kuvizia. Niliwahi kuanzisha mada humu kwamba, ikitokea Rais akawa bubu, je CHADEMA watakuwa na ajenda zipi?

Tathmini yangu ya muda mfupi imebaini kwamba, hoja zinazojengwa na Ben Saanane na genge lake zinategemea nini Rais anaongea. Kwa maana utendaji wa Rais uliotukuka unasababisha Ben Saanane na Genge lake wakose hoja za kumkosoa. Hata kama wanapojaribu kukosoa utendaji, wanakosoa kwa hoja dhaifu. Mathalan, ziliponunuliwa ndege mpya mbili aina ya Bombadier Q400, walijenga hoja za kitoto eti ndege hizo hazina mwendo. Mara wanasema ni mapangaboi. Mara wanasema eti water salute haikufanyika kisawasawa. Almradi wanawaonesha wafadhili wao kuwa wametimiza wajibu wao. Utoto.

Uwezo wa vijana wa CHADEMA katika kujenga hoja ni mdogo. Kuna wakati Lusinde aliwahi kuwaambia kuwa akili zao zimeshikiliwa na Mbowe na ndio maana wanawaza kimbowembowe tu.

Hata hivyo, najaribu kuwaza, je kazi anayofanya Ben Saanane na genge lake inatosheleza matakwa ya wafadhili wake? Je watafanikiwa kushusha morali ya Rais Magufuli katika kuwatumikia wananchi? Je watakwamisha juhudi kubwa zinazofanywa na Rais Magufuli katika kutekeleza ilani ya CCM? Thubutu! Rais ameapa kuwa hakuna atakayekwamisha utekelezaji wa Ilani ya CCM. Ben Saanane na Genge lake wataishia kujadili water salute, kuomba Salary Slip ya Rais na kujipongeza kutokana na kauli ya Rais kuwa anatamani malaika afungie mitandao ya kijamii kwa mwaka mmoja ili itakapofunguliwa wakute Tanzania imepaa.

Nimhakikishie Rais wangu kuwa, hawa wapiga kelele mitandaoni hawatafanikiwa kukwamisha harakati zako za kuwaletea maendeleo wananchi. Waache wapige kelele. Wewe piga kazi. Mwisho wa siku kelele zao zitageuka kuwa kicheko kwako. Watanzania tuna imani kubwa kwako. Kazi unayofanya inapokelewa kwa mikono miwili na Watanzania. Utafiti wa Twaweza unabainisha kuwa 96% ya Watanzania wanakulibali. Endelea kupiga kazi ili ifikapo 2020, wapinzani waone aibu kumsimamisha mgombea Urais kupambana na wewe.
Lizaboni Ben ni debe tupu...Rais wangu asipoteze muda nao hao atuachie sisi humu humu tuwaelimisha kama tuliivyomsaidia yeye mweyewe Ben humu ndani ya Jukwaa dhidi ya Zitto, tukijua Ben ni kijana mwenye mwelekeo wa Mfia Nchi kumbe ni njaa tumbo.Tulimpigania sana humu pamoja na sie wengine kuwa na itikadi tofauti nae lakini tulimpigania tukijua tunampigania Mzalendo [Comrade] mpigania Taifa lake, tunae tofautiana milango kumbe zilikuwa Njaa tu.

Hivi kweli kuna Mzalendo [Comrade] yoyote anaweza kuuliza [Question ?] jitihada za DK Magufuli dhidi ya kuliludisha Taifa kwenye Mstari toka kwenye ramani ya miaka ya 1990 iliyopotea.Basi huyo si Comrade huyo ni ADUI.

Kama tulivyomtoa kidedea kwenye hoja ya Zitto kwa kumuona ni kijana mwenye mwelekeo wa kujenga Taifa lake kumbe ilikua GEAR ya njaa ya tumbo...Tutampa za Chemba humu humu na atakaa, ata kama moderators humu watamsaidia lakini ........taratibuuu...UKUTA ataushika.
 
Mbowe ni ccm damu.<br /><br />Kama unabisha subiri 2020 ataazima tena mgombea urais kutoka ccm. Ataangalia fisadi ambaye anashambuliwa na bavicha alafu ndio anamteua ili bavichaaa hao hao wamsafishe.
 
Japo huna lolote, ila hata kufikiri kidogo huwez?...eti Lowasa na Saanane wamekubaliana, kama kweli umejuaje hayo?...hayo mambo ya vimada, kulikoni mkuu.
 
Ben mtembea na sumu mfukoni mbona anajulikana tangu siku nyingi ni mchumia tumbo?
 
Beni saa nne sijui saa saba ni kibaraka tu huyo. Amepoteza mwelekeo
 
Bensanane na Yericko Nyerere ni vibaraka wa CHADEMA. Kuna kibaraka mwingine anajiita Mwananchi Huru.
 
Back
Top Bottom