Harakati za Ben Saanane kupambana na Rais Magufuli, ni njia sahihi ya kuwaridhisha wafadhili wake?

Hivi kuna mtu au kiongozi ambaye yupo perfect?? Kukosolewa ni kuambiwa kwamba hauko perfect kwahiyo ni kawaida
 
Nimesoma Tuu jina lako hapo juu kukuta Ni ww sisomi Uzi wako maanake najua Ni kada wa chama
 
Nimesoma Tuu jina lako hapo juu kukuta Ni ww sisomi Uzi wako maanake najua Ni kada wa chama
Tehetehetehetehe. Mbona sisi huwa tunasoma utumbo mnaoandika? Utafanyaje uchambuzi kama hujasoma?
 
Mkuu ameona kikosi chenu hakina uwezo wa kupambana, ndiyo maana ameamua kuoeleka maombi yake kwa Malaika.
Waulize akina Slaa, Michael Aweda, Zitto Kabwe, Samson Mwigamba, Kitila Mkumbo, Henry Kilewo, Lema na wengineo ambao tulipambana nao kwa hoja. Sasa umebaki ujinga tu wa akina Ben Saanane
 


Ni sahihi kabisa!! hamna haja ya kujibizana na mtu Wa tabia za yuda Iscariot!! Rais wetu apige Kazi Mungu Wa mbingu na nchi yuko pamoja naye!! Watapambana lakini hawatashinda!!!
 
Vijana wana njaa Kali. wanatumika wanapata pesa za makombo.
Huyo jamaa ukute elimu yake ni ya kuunga unga kama ya Mbowe & Co.
 
kweli nyani hajioni kundule! yaani hata wewe umesahau kitengo chako hapo Lumumba cha kumponda lowassa?! au Ben kakuzidi maujanja!? acha hizo bwana!
 
Umechemka kidigo, Chadema imekodishwa na ma Mvi kwaiyo mwa miaka yote aliyo kodi yeye anaendelea kua mgombea wa Urais. DJ ataendelea kua Mwenyekiti wa Chama.
 
Aya ni mambo ya aibu pale saa 8 anapo lamba viatu vya ma Mvi ili aendelee kuishi. Ni zaidi ya Unyumbu.
 
Waulize akina Slaa, Michael Aweda, Zitto Kabwe, Samson Mwigamba, Kitila Mkumbo, Henry Kilewo, Lema na wengineo ambao tulipambana nao kwa hoja. Sasa umebaki ujinga tu wa akina Ben Saanane
Pamoja na yote, safari hii imekuwaje hadi mkuu atake msaada wa Malaika?
 
"Siasa siyo sayansi halisi" anasema Bismark wa Ujerumani katika hotuba yake kwenye Prussia Chamber tarehe 18.12.1863. Alikuwa sahihi.
=====
imetafisiriwa hisivyo rasmi kutoka andishi la Mh. P. Msekwa kwenye gazeti la Daily News la 29.09.2016 ukurasa wa 7
 
Anza na TWAWEZA
 
Naona lizabon na ww umeajiriwa kupambana na CCM kubambana na Ben,hasa kipindi hichi ambacho nafasa za Ukurugenz zko waz kule kagera...Lkn hio nafas huipati kwa kuwa huk mitandaoni tu umegalagazwa....Nataman malaika washuke waifunge mitandao y kijamiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…