Harakati za kanjanja la clouds utopoloni

Harakati za kanjanja la clouds utopoloni

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Aiseee huyu kijana kama hawajampa kitengo wampe tu hapo utopoloni kwa kweli, kajivika mabomu haswa na kaingia vitani kwelikweli

Hiyo harusi nitashangaa kama hawatachangia atleast millions 50 he deserves it...hapo ukimuuliza kwamba ilikuwaje senzo akaweka booking ya kambi uturuki last month ilihali akijua kuna yanga day, kuna mechi ya stars bado atakuambia kambi ya nje siyo lazima na kamwe hatazungumzia uzembe uliofanyika unaosababisha hasara ya kulipa millions 200 kwa waturuki

Makanjanja haya ni bora ya spend siku nzima redion kuongelea logo ya m-bet juu ya logo ya sportspesa au kwa nini simba haijaenda marekani kama Mo alivyoahidi wala siyo uzembe uliotokea kuhusu kambi ya uturuki na tishio la kushtakiwa na ile sport agency.

kanjanja.JPG
 
Simba msimu uliopita alikua pre season Morocco na akafungwa na Yanga mechi ya ufunguzi, msimu huu Wana kwenda Misri na watakuja kufungwa kadhalika na misimu inayo fuata.
Azam Kwa miaka mingi wanafanya pre season nje ya Nchi na wakirudi nafasi Yao ni ya tatu.
 
Simba msimu uliopita alikua pre season Morocco na akafungwa na Yanga mechi ya ufunguzi, msimu huu Wana kwenda Misri na watakuja kufungwa kadhalika na misimu inayo fuata.
Azam Kwa miaka mingi wanafanya pre season nje ya Nchi na wakirudi nafasi Yao ni ya tatu.
ama kwa hakika wewe uko sahihi kabisa
 
Na huu ni mwanzo tu wa miaka mingi ya mateso mnayoenda kukutana nayo. Yanga itawatesa sana
 
Aiseee huyu kijana kama hawajampa kitengo wampe tu hapo utopoloni kwa kweli, kajivika mabomu haswa na kaingia vitani kwelikweli

Hiyo harusi nitashangaa kama hawatachangia atleast millions 50 he deserves it...hapo ukimuuliza kwamba ilikuwaje senzo akaweka booking ya kambi uturuki last month ilihali akijua kuna yanga day, kuna mechi ya stars bado atakuambia kambi ya nje siyo lazima na kamwe hatazungumzia uzembe uliofanyika unaosababisha hasara ya kulipa millions 200 kwa waturuki

Makanjanja haya ni bora ya spend siku nzima redion kuongelea logo ya m-bet juu ya logo ya sportspesa au kwa nini simba haijaenda marekani kama Mo alivyoahidi wala siyo uzembe uliotokea kuhusu kambi ya uturuki na tishio la kushtakiwa na ile sport agency.

View attachment 2293755
Ukweli unauma bila shaka. Ukisikia Manchester United imeenda Korea Kusini kwa ajili ya Pre season, basi ujue lengo kubwa hapo ni kwenda kuongeza idadi ya mashabiki na kufanya biashara, ikiwemo ya jezi!

Sasa ukiulizwa ulazima wa Pre season ya simba Misri! Utajibu nini? Kuna Mmisri atashawishika kweli kuwa mshabiki wa simba, badala ya Al Ahly, Zamaleki, nk!!! Na kama ni suala tu la utulivu, basi nchi yetu imejaliwa maeneo mengi yenye utulivu! Likiwemo lile eneo la Avic Town kule Kigamboni!

Au ni ushamba tu na ulimbukeni!
 
Ukitaka kujua hyo ni kilaza akiongea kitu kwenye kipindi cha michezo wenzake wote wanambishia ila hajifunzi na manara anavyomsifia basi ndo kabisa.
 
Simba msimu uliopita alikua pre season Morocco na akafungwa na Yanga mechi ya ufunguzi, msimu huu Wana kwenda Misri na watakuja kufungwa kadhalika na misimu inayo fuata.
Azam Kwa miaka mingi wanafanya pre season nje ya Nchi na wakirudi nafasi Yao ni ya tatu.
Kwa hyo yanga kumfunga simba ndo mnajiona mmefika final CAF champion's league kweli yanga na mashabiki wake lucy aymel hakukosea kuwaita vile.
 
Aiseee huyu kijana kama hawajampa kitengo wampe tu hapo utopoloni kwa kweli, kajivika mabomu haswa na kaingia vitani kwelikweli

Hiyo harusi nitashangaa kama hawatachangia atleast millions 50 he deserves it...hapo ukimuuliza kwamba ilikuwaje senzo akaweka booking ya kambi uturuki last month ilihali akijua kuna yanga day, kuna mechi ya stars bado atakuambia kambi ya nje siyo lazima na kamwe hatazungumzia uzembe uliofanyika unaosababisha hasara ya kulipa millions 200 kwa waturuki

Makanjanja haya ni bora ya spend siku nzima redion kuongelea logo ya m-bet juu ya logo ya sportspesa au kwa nini simba haijaenda marekani kama Mo alivyoahidi wala siyo uzembe uliotokea kuhusu kambi ya uturuki na tishio la kushtakiwa na ile sport agency.

View attachment 2293755
Msimu uliopita makolo walifanya pre season je iliwasaidia nini katika kusaka ubingwa?
Yanga walikatisha pre season je walikata pumzi mzunguko wa pili kama mlivyotarajia?
 

Attachments

  • K.jpg
    K.jpg
    9.9 KB · Views: 5
Aiseee huyu kijana kama hawajampa kitengo wampe tu hapo utopoloni kwa kweli, kajivika mabomu haswa na kaingia vitani kwelikweli

Hiyo harusi nitashangaa kama hawatachangia atleast millions 50 he deserves it...hapo ukimuuliza kwamba ilikuwaje senzo akaweka booking ya kambi uturuki last month ilihali akijua kuna yanga day, kuna mechi ya stars bado atakuambia kambi ya nje siyo lazima na kamwe hatazungumzia uzembe uliofanyika unaosababisha hasara ya kulipa millions 200 kwa waturuki

Makanjanja haya ni bora ya spend siku nzima redion kuongelea logo ya m-bet juu ya logo ya sportspesa au kwa nini simba haijaenda marekani kama Mo alivyoahidi wala siyo uzembe uliotokea kuhusu kambi ya uturuki na tishio la kushtakiwa na ile sport agency.

View attachment 2293755
Radioni na kwenye tv ni sehemu ya kuwapigia debe waliopo kwenye madaraka ili ukumbukwe kwenye teuzi mbalimbali.

Angalia waandishi na watangazaji walivyokula teuzi za ukuu wa wilaya hiyo yote ni kutokana na kuwapigia debe wanasiasa.

Pia huyo priva anajua atakumbukwa na GSM kwenye nafasi ya kufua jezi za wachazaji.
 
Back
Top Bottom