Harakati za kanjanja la clouds utopoloni

Harakati za kanjanja la clouds utopoloni

Ukweli unauma bila shaka. Ukisikia Manchester United imeenda Korea Kusini kwa ajili ya Pre season, basi ujue lengo kubwa hapo ni kwenda kuongeza idadi ya mashabiki na kufanya biashara, ikiwemo ya jezi!

Sasa ukiulizwa ulazima wa Pre season ya simba Misri! Utajibu nini? Kuna Mmisri atashawishika kweli kuwa mshabiki wa simba, badala ya Al Ahly, Zamaleki, nk!!! Na kama ni suala tu la utulivu, basi nchi yetu imejaliwa maeneo mengi yenye utulivu! Likiwemo lile eneo la Avic Town kule Kigamboni!

Au ni ushamba tu na ulimbukeni!
Unamaanisha mashabiki wa Simba ni wa hapahapa Tz tu siyo?
 
Ukweli unauma bila shaka. Ukisikia Manchester United imeenda Korea Kusini kwa ajili ya Pre season, basi ujue lengo kubwa hapo ni kwenda kuongeza idadi ya mashabiki na kufanya biashara, ikiwemo ya jezi!

Sasa ukiulizwa ulazima wa Pre season ya simba Misri! Utajibu nini? Kuna Mmisri atashawishika kweli kuwa mshabiki wa simba, badala ya Al Ahly, Zamaleki, nk!!! Na kama ni suala tu la utulivu, basi nchi yetu imejaliwa maeneo mengi yenye utulivu! Likiwemo lile eneo la Avic Town kule Kigamboni!

Au ni ushamba tu na ulimbukeni!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa jinsi Utopolo walivyokukata mdomo kwa kwenda Matombo, kumbe huwa ni mpoleeee hivi.

Umeguswaaaaah, wallah kila nikiona Comment yako mbavu cnaaa,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kunywa maji mengi afu relaaaaax.

Byuti byuti.
 
Ninachofahamu mimi pre season sio lazima nje ya nchi....
 
Back
Top Bottom