Kwa mantiki ya kauli yako utawapigia kura nani sasa!! UKAWA au CCM maana umekaa kaa kama huipendi UKAWA na upinzani kwa ujumla!Wewe nae muita slaa Dr mihogo sisi chadema tunakujua team lowasa na wote tulikuw hapa jf ukipinga harakati za chadema umeletwa na lowas unajiita chadema we kweli kavu
Hata bila zinduka lazima wananchi wangeweka gia za ardhini tu!Mliochanganyikiwa mko wengi, mwenzako wa Zinduka karibu anafikisha zinduka 40 ambazo hazimsaidii chochote.
Mbowe tapeli, bring Dr. Slaa, Bring ZZK
Kwa anaejua sisa anajua role ya heavy weight politician km lowassa leo vijiji vyote ukienda lazma ukute bendera c chini ya100 za cdm kaz ambayo ingechukua miaka kuja kwa low miez miwil tu ngoma mteremko
Kwakweli hapo Mbowe lazima aachie ngazi hata kama chama ni cha mkwewe....hakuna jinsi tena..wengi tumekimbia chadema baada ya Lowassa kukaribishwa na Dr slaa kudhalilishwa
Majibu yako utayapata hapahapa. Ccm mlitamani sana chadema wavurugane lakini halikutokea. Tulianza na Mungu na kesho tunamaliza na Mungu