Wang chung
Member
- Oct 26, 2024
- 26
- 36
Uzi ufungwe😂Yaani ungezitumia ukawa tajiri then ndio ikawa rahisi kuandika na kuuza kitabu
Nazitumia , nipo kwenye mchakatoYaani ungezitumia ukawa tajiri then ndio ikawa rahisi kuandika na kuuza kitabu
Kazi nafanya ila muda wa ziada ndio naandika kitabuTafuta kazi ya kufanya tena physical work sawa
Ni suala la muda tuKwahiyo front page hapo wewe ni tajiri teyar mwenzetu
Jiulize kwani alishindwa nini kutafuta cover zuriHuyo kwenye cover ndio muandishi?
Mbona amekaa kifukara kama mimi tu. Au ndio mganga hajigangi??
Kasoma kitabu chake na sasa ndio anaweka into practise alichosema kwa kukiuza ili awe tajiri🤣🤣Jiulize kwani alishindwa nini kutafuta cover zuri
Unapataje mda wa ziada mkuu..Kazi nafanya ila muda wa ziada ndio naandika kitabu
Muache atimize ndoto zake kama aimbani kwanini unamlazimisha aachane nayo vp kama anaandika usiku muda ambao tayari hana majukumuUnapataje mda wa ziada mkuu..
Pambana pambana hiyo kazi uliyo nayo.una uhakika utamiliki nyumba..?