Wang chung
Member
- Oct 26, 2024
- 26
- 36
- Thread starter
- #21
Ndio mwandishiHuyo kwenye cover ndio muandishi?
Mbona amekaa kifukara kama mimi tu. Au ndio mganga hajigangi??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio mwandishiHuyo kwenye cover ndio muandishi?
Mbona amekaa kifukara kama mimi tu. Au ndio mganga hajigangi??
Mshauri azingatie maandiko yake, akomboke kutoka ufukarani kabla ya kuuza andiko.Ndio mwandishi
Unatuma tsh 1000Buku tu inawafanya watu wanaongea shombo hivi haki nimeamini jf inawatu maskini sana dogo em nipe utaratibu wa kununua hicho kitabu nikuunge mkono
Yupo kwenye harakati ndio maana ameamua kushea mawazo yake kwa vijana wengineMshauri azingatie maandiko yake, akomboke kutoka ufukarani kabla ya kuuza andiko.
Ni kazi ya kwanza ya mwandishiJiulize kwani alishindwa nini kutafuta cover zuri
Mungu amfungulie kila lenye heri.Yupo kwenye harakati ndio maana ameamua kushea mawazo yake kwa vijana wengine
Mm Bado mwanafunzi ila napambana kwa nafasi yangu kutafuta pesa ila usiku Huwa sifanyi kaziUnapataje mda wa ziada mkuu..
Pambana pambana hiyo kazi uliyo nayo.una uhakika utamiliki nyumba..?
🤔ungekitoa bure maana tayari wewe unafahamu mbinu za kuukimbia umaskini
Laiti wangepiga nyero leo tusingeona upumbavu huukitabu hiki kinaeleza mambo yafuatayo
1.ni jinsi gani masikini wanaweza kuukimbia umasikini kwa kuchukua hatua madhubuti .
2.kinafundisha nidhamu na kanuni za pesa kiundani.
3.kinafundisha jinsi ya kutambua fursa, kufanya uchunguzi na kunitumia fursa vizuri.
Kinapatikana kwa muundo wa soft copy tu kwa tsh 1000/=
Whatsapp:0763863650
Email: rizikisanga77@gmail.com
View attachment 3267763
Sawa kesho nitatuma mkuuUnatuma tsh 1000
Kwenye namba 0763863650 ni namba ya voda jina litakuja RIZIKI HASSAN SANGA
Kisha unakicheki Whatsapp
0763863650
KAWEKA NDITA LAKINI,,,😂😂 JOKESCover tu ya kitabu inaonyesha haupo serious ww
😂😂Laiti wangepiga nyero leo tusingeona upumbavu huu
Yupo kwenye harakati za kuwa tajiri. 20 yrs to come...Kwahiyo front page hapo wewe ni tajiri teyar mwenzetu