Harambee: Kuiona Mechi ya Brazil na Taifa stars

Harambee: Kuiona Mechi ya Brazil na Taifa stars

Hujasema uko mkoa/nchi gani ili nikuandalie na sehemu ya kufikia hapa jijini!!
moz-screenshot-1.jpg
moz-screenshot-2.jpg
moz-screenshot-3.jpg
moz-screenshot-4.jpg
ha ha ha ha wadau wameona hili pozi la Kimaasai sasa wanataka kutumia Brazil kama opportunity. Watchout Charity
 
As a principled man I would not under any circumstance support this stupidity and I never break my principles no matter what. It is wrong for the govt. to cough up that kinda money for a one day event that has no real benefits whatsoever while there are real and legit problems where that kind of money could be earmarked and it is equally wrong for any sensible person to support it, whether directly or indirectly.

If you are a sensible, upstanding citizen and know that what the govt. is about to do or has done is wrong, then you ought to be outraged by this. I will not spend my hard earned money to go and watch that match. By going to see it shows to me that you are not outraged and you support them (the govt.) fully. You are enabling them in misusing our meager resources.

So Kiranga, as the Q-Dwag told you yesterday, most of these folks here don't understand where you are coming from. You obviously think on different wavelengths.

It is not complicated logarithm. It's as simple as ABC. You are just as wrong when you support someone or something that is wrong.

And we sit here and wonder how come we are poor? How come we don't develop? How come our hospitals are overcrowded? Why our school kids sit and "learn" under baobab trees? FMES said it best: our leaders are a reflection of ourselves - the people.

With these parting words I say...., I'm not saying....., but you know what I want to say. There is a method in madness y'all.
 
sasa hapo meenda mbali, jamani kwa nilivyoelewa Charity alikuwa anaiburudisha j3 iliyokuwa imepooza tu, kuna thread alihangia kwamba hawezi kutoa hiyo pesa wakati ana majukumu yake kufanya zaidi ya kwenda kuwaangalia hao Brazil, watu mpo sensitive mpaka mnashindwa kutofautisha utani na mambo serious, wewe kataza jamaa/familia yako ichudhurie lakini wenye kuweza kuhudhuria iwe kwa kuchangiwa/kutoa mwenyewe waache wafanye hivyo, kapambane na serikali yako yenye matumizi mabaya na sio mtoa thread ambaye hata hivyo alikuwa anachangamsha mabo tu na blue monday...khaa.

Aliyeanza kusema mambo ya familia si mimi, yeye mwenyewe kaanza kuniambia nina matatizo ya familia.Ndiyo nikamjibu wewe bwana wako heshi kujinafasi na mabaamedi kwenye mabaa, angechanga hizo hela na kuziweka benki labda ungeweza kuwa na kiingilio.

Lakini inaonekana familia nzima haina financial discipline, matokeo yake unakuja kuomba omba hapa.

Sasa mimi ninayehudumia familia yangu, na wala sijaomba msaada hapa na yeye ambaye familia yake haiwezi kumhudumia nani ana matatizo ya kifamilia?
 
Aliyeanza kusema mambo ya familia si mimi, yeye mwenyewe kaanza kuniambia nina matatizo ya familia.Ndiyo nikamjibu wewe bwana wako heshi kujinafasi na mabaamedi kwenye mabaa, angechanga hizo hela na kuziweka benki labda ungeweza kuwa na kiingilio.

Lakini inaonekana familia nzima haina financial discipline, matokeo yake unakuja kuomba omba hapa.

Sasa mimi ninayehudumia familia yangu, na wala sijaomba msaada hapa na yeye ambaye familia yake haiwezi kumhudumia nani ana matatizo ya kifamilia?

hivi kiranga, kwa akili yako unafikiri uyu mdada alikuwa anaomba msaada kweli? alikuwa na message yake aliyotaka kufikisha kwa jamii tu indirectly kuhusu hizo billions walizokula brazil, sasa wewe umekomalia kama unatoka shamba bwana, yaani haujaelewa tu? unafikiri hapa jf watu hawana hela kweli...
 
As a principled man I would not under any circumstance support this stupidity and I never break my principles no matter what. It is wrong for the govt. to cough up that kinda money for a one day event that has no real benefits whatsoever while there are real and legit problems where that kind of money could be earmarked and it is equally wrong for any sensible person to support it, whether directly or indirectly.

If you are a sensible, upstanding citizen and know that what the govt. is about to do or has done is wrong, then you ought to be outraged by this. I will not spend my hard earned money to go and watch that match. By going to see it shows to me that you are not outraged and you support them (the govt.) fully. You are enabling them in misusing our meager resources.

So Kiranga, as the Q-Dwag told you yesterday, most of these folks here don't understand where you are coming from. You obviously think on different wavelengths.

It is not complicated logarithm. It's as simple as ABC. You are just as wrong when you support someone or something that is wrong.

And we sit here and wonder how come we are poor? How come we don't develop? How come our hospitals are overcrowded? Why our school kids sit and "learn" under baobab trees? FMES said it best: our leaders are a reflection of ourselves - the people.

With these parting words I say...., I'm not saying....., but you know what I want to say. There is a method in madness y'all.

Nyani Ngabu you nailed it.

Hapa naongea na watu walio katika universe tofauti, wengine nina sababu ya kuamini kwamba hawajawahi hata kusikia "Fiscal Responsibility".

But that does not mean I shouldn't pound 'em over and over again and if necessary even school them a bit.
 
Ipo kazi- NANI ZAIDI:
AS OF TODAY
Kiranga post >1980 ,dada Charity posts >2450.
Kiranga Jan.2009,dada Charity July 2009.
Kiranga unaonaje ukimuachia dada Charity na waja wake akamaliza shughuli yake? Maana jamaa wameisha anza tu PM eti wewe ni CUF si mfianchi!
BTHW dada Charity ww kama ni Mmasai original hiyo kiingilio si ngombe 1 tu?:hug:
 
Tatizo ni watu kuunga mkono ujinga bila hata ya kutambua kuwa wanaunga mkono ujinga. Kutumia mabilioni hayo yote kuileta timu ya taifa ya Brazil kucheza mechi ya kirafiki na timu yetu ya taifa ni matumizi mabaya ya rasilimali zetu chache.

Kibaya zaidi ni pale watu wanaposema kwa vile tayari serikali imeshaamua kuwaleta hao Brazil, basi hatuna jinsi ni heri tu tukaione hiyo mechi. Hii ni defeatism attitude. Hakuna anayeoneshwa kukasirishwa na kitendo cha serikali kutumia vibaya hela za walipa kodi na hela za wahisani. Huwezi ukajidai kusema eti umekasirishwa na serikali imekosea kuwaleta hao Brazil kwa ada hiyo halafu kwa wakati huo huo unatasema utaenda au unataka kwenda kuiangalia hiyo mechi. Kufanya hivyo ni kutokuwa na mwongozo wa kanuni. Nadhani Nyerere aliwahi kusema kuwa ukiishi kwa kuvunja vunja kanuni basi ipo siku kanuni itakuvunja wewe.

Hapa wengi wetu, kama si wote tulipaswa kulaani kitendo hiki cha serikali cha kutojali hali ngumu ya wananchi wake na kuendekeza kitu ambacho hakina uhusiano wa moja kwa moja na maisha ya Mtanzania wa kawaida ambaye watoto wake wanasoma chini ya miembe au mama mjamzito anayelala kwenye sakafu hospitalini. Tulipaswa kulaani si kwa maneno tu bali matendo pia. Wote watakaokwenda kuangalia mechi hiyo ni wawezeshaji wa hawa viongozi ambao kwa kweli wala si viongozi.

It's only in Tanzania or rather Africa (coz I heard Zimbabwe, of all countries, has paid them a good sum too to play their team) should I say, where this kind of foolishness happens with impunity. And anybody who co-signs on it needs their head examined, seriously.
 
hivi kiranga, kwa akili yako unafikiri uyu mdada alikuwa anaomba msaada kweli? alikuwa na message yake aliyotaka kufikisha kwa jamii tu indirectly kuhusu hizo billions walizokula brazil, sasa wewe umekomalia kama unatoka shamba bwana, yaani haujaelewa tu? unafikiri hapa jf watu hawana hela kweli...

Mimi sina extra sensory perception, nakwenda kwa watu wanachoandika.

Ama sivyo hata wewe ninaweza kufikiri kwamba husemi unachosema unasema bali unasema usichosema unasema kwa kusema unachosema umesema wakati hujasema hujasema umesema ulichosema.

Itakuwa chaos hapa.
 
Ipo kazi- NANI ZAIDI:
AS OF TODAY
Kiranga post >1980 ,dada Charity posts >2450.
Kiranga Jan.2009,dada Charity July 2009.
Kiranga unaonaje ukimuachia dada Charity na waja wake akamaliza shughuli yake? Maana jamaa wameisha anza tu PM eti wewe ni CUF si mfianchi!
BTHW dada Charity ww kama ni Mmasai original hiyo kiingilio si ngombe 1 tu?:hug:

Huwezi kuniambia nimuachie mtu amalize shughuli yake wakati sijamzuia, na nimeeleza wazi kwamba natetea uhuru wake wa kuombaomba, lakini napinga kitendo cha uombaomba. I know some of these nuancess may be too much for some of the slopokes in here.

Mfianchi ni yule anaye support matumizi mabaya ya fedha za umma au yule anayepinga?

Mimi si CUF wala sina affiliation na chama chochote cha siasa, lakini what are you trying to say? CUF hawezi kuwa mfianchi?
 
Tatizo ni watu kuunga mkono ujinga bila hata ya kutambua kuwa wanaunga mkono ujinga. Kutumia mabilioni hayo yote kuileta timu ya taifa ya Brazil kucheza mechi ya kirafiki na timu yetu ya taifa ni matumizi mabaya ya rasilimali zetu chache.

Kibaya zaidi ni pale watu wanaposema kwa vile tayari serikali imeshaamua kuwaleta hao Brazil, basi hatuna jinsi ni heri tu tukaione hiyo mechi. Hii ni defeatism attitude. Hakuna anayeoneshwa kukasirishwa na kitendo cha serikali kutumia vibaya hela za walipa kodi na hela za wahisani. Huwezi ukajidai kusema eti umekasirishwa na serikali imekosea kuwaleta hao Brazil kwa ada hiyo halafu kwa wakati huo huo unatasema utaenda au unataka kwenda kuiangalia hiyo mechi. Kufanya hivyo ni kutokuwa na mwongozo wa kanuni. Nadhani Nyerere aliwahi kusema kuwa ukiishi kwa kuvunja vunja kanuni basi ipo siku kanuni itakuvunja wewe.

Hapa wengi wetu, kama si wote tulipaswa kulaani kitendo hiki cha serikali cha kutojali hali ngumu ya wananchi wake na kuendekeza kitu ambacho hakina uhusiano wa moja kwa moja na maisha ya Mtanzania wa kawaida ambaye watoto wake wanasoma chini ya miembe au mama mjamzito anayelala kwenye sakafu hospitalini. Tulipaswa kulaani si kwa maneno tu bali matendo pia. Wote watakaokwenda kuangalia mechi hiyo ni wawezeshaji wa hawa viongozi ambao kwa kweli wala si viongozi.

It's only in Tanzania or rather Africa (coz I heard Zimbabwe, of all countries, has paid them a good sum too to play their team) should I say, where this kind of foolishness happens with impunity. And anybody who co-signs on it needs their head examined, seriously.

Once again you come through my dude.

Tatizo lingine ni kwamba si watu wote hawajui kwamba huu ni upuuzi, watu wetu hawana courage ya ku stand up, hawana resolve, hawana usongo wa kubadilisha mambo, wanakubali kubali tu kwenda kama bendera kufuata upepo, wanataka vitu vije kirahisi rahisi, serikali iji police yenyewe bila wananchi kushika mabango, huku wanataka kuishutumu kwa ufisadi halafu hapo hapo ikifanya mambo ya kifisadi kuleta Brazil kwa mamilioni ya dola wanataka kuiunga mkono.

Kati ya hawa hamna principles, hamna mtu anayeweza ku boycott.

Marekani najua kuna watu hawanunui kitu Wal-Mart ingawa Wal-Mart bei zao ni ndogo, lakini watu wanawachunia vile vile kwa sababu wana principles zao.Mtu anakwambia mimi siwezi kununua kitu Wal-Mart kwa sababu Wal-Mart hairuhusu unions, au Wal-Mart inaharibu mazingira.

Watu waligoma kununua ndizi za kampuni moja la Costa Rica kwa sababu kampuni lilikuwa lina spray banana plantantions na sumu za kuua wadudu, ikatokea kwamba wafanyakazi wa ma plantantions haya wanaokaa humo humo kwenye plantantions wakawa nao wanapuliziwa madawa, mpaka kwenye visima vya maji yao na nyumba zao.Ikawa bonge la scandal, ndizi zikawa hazinunuliki.Mpaka kampuni likabadilisha utaratibu wake wa kupiga madawa.

Haki haiji bali kwa mtutu wa bunduki. Usione vyaelewa vimeundwa.

Sasa kama sisi hatutaki kupigania principle, hatutaki ku boycott, tutaendelea vipi? Serikali itajuaje kwamba inaharibu?

Si ndiyo mwakani tutatumia hela zaidi kwa upuuzi kama huu?
 
Ipo kazi- NANI ZAIDI:
AS OF TODAY
Kiranga post >1980 ,dada Charity posts >2450.
Kiranga Jan.2009,dada Charity July 2009.
Kiranga unaonaje ukimuachia dada Charity na waja wake akamaliza shughuli yake? Maana jamaa wameisha anza tu PM eti wewe ni CUF si mfianchi!
BTHW dada Charity ww kama ni Mmasai original hiyo kiingilio si ngombe 1 tu?:hug:
Katabazi mie sishindani na mtu yeyote hapa JF,sina muda huo.As long as nimetoa hii post yangu sijam-offend mtu yoyote basi nina haki ya ku-present ninachokitaka.
Tatizo watu wanapenda kuingilia uhuru wa wenzao na kuwachokonoa hadi machoni.Wengine shari hatujazoea.
 
Katabazi mie sishindani na mtu yeyote hapa JF,sina muda huo.As long as nimetoa hii post yangu sijam-offend mtu yoyote basi nina haki ya ku-present ninachokitaka.
Tatizo watu wanapenda kuingilia uhuru wa wenzao na kuwachokonoa hadi machoni.Wengine shari hatujazoea.


Ni kweli kabisa wamezoea shari-tuwafanyeje sasa hawa ali mradi wameishaingia na wamekuvamia mpaka kwenye thread yako-mungu ashukuriwe hawajui ulipo,wangekuwa wamekwishakuja,ukiwanyamazia watazoea na wataendelea kukuchokonoa mpaka upasuke,unaonaje ukifuata msemo wa wahenga,akunyimae maneno.............:confused2:
 
wee Kiranga unabore!wacha kuharibu mada ya mwenzio....

Ili Mada yako JF inoge inabidi ipate wakosoaji wengi ( and through that utakuwa katika nafasi ya Kujifunza) kuliko waungaji mkono. Kuanzisha mada JF is like Uchokonozi sasa ukitaka Topic yako ichangiwe na wale wanaokuunga mkono pekee basi hautajinza kitu

Soma habari za Johari Window utaelewa namaanisha nini
 
Ni kweli kabisa wamezoea shari-tuwafanyeje sasa hawa ali mradi wameishaingia na wamekuvamia mpaka kwenye thread yako-mungu ashukuriwe hawajui ulipo,wangekuwa wamekwishakuja,ukiwanyamazia watazoea na wataendelea kukuchokonoa mpaka upasuke,unaonaje ukifuata msemo wa wahenga,akunyimae maneno.............:confused2:
[/COLOR][/SIZE]

Neno la Mungu katika Rum 12:14-21 inasema hivi.........
14Wabarikini wanaowaudhi;barikini,wala msilaani.
15Furahini na pamoja nao wafurahio;lieni pamoja nao waliao.
16Mpatane nia zenu ninyi kwa ninyi.Msinie yaliyo makuu,lakinimkubali kushughulishwa na mambo manyonge.Msiwe watu wa kujivunia akili.
17Msilipe mtu ovu kwa ovu.Angalieni yaliyo mema machoni pa watu wote.
18Kama yamkini,kwa upande wenu,mkae katika amani na watu wote.
19Wapenzi,msijilipize kisasi,bali ipisheni ghadhabu ya Mungu Mungu;maana imeandikwa,kisasi ni juu yangu mimi;mimi nitalipa,anena Bwana.
20Lakini ,Adui yako akiwa na njaa,mlishe;akiwa na kiu, mnyweshe;maana ufanyapo hivyo,utampalia makaa ya moto kichwani pake.
21Usishindwe na ubaya,bali uushinde ubaya kwa wema.

kwa mantiki hiyo mimi namwachia Mungu ashughulike na Kiranga na wote wanaofanana na yeye wanaotaka kuwakwaza wenzao.Nambariki kwa jina la Bwana.
Natoa Dedication wimbo wa gospel wa Neema Mushi unaitwa RAHA JIPE MWENYEWE(anayeweza kuniwekea hapa live ntashukuru).
Nadhani umenipata Kata
 
Neno la Mungu katika Rum 12:14-21 inasema hivi.........
14Wabarikini wanaowaudhi;barikini,wala msilaani.
15Furahini na pamoja nao wafurahio;lieni pamoja nao waliao.
16Mpatane nia zenu ninyi kwa ninyi.Msinie yaliyo makuu,lakinimkubali kushughulishwa na mambo manyonge.Msiwe watu wa kujivunia akili.
17Msilipe mtu ovu kwa ovu.Angalieni yaliyo mema machoni pa watu wote.
18Kama yamkini,kwa upande wenu,mkae katika amani na watu wote.
19Wapenzi,msijilipize kisasi,bali ipisheni ghadhabu ya Mungu Mungu;maana imeandikwa,kisasi ni juu yangu mimi;mimi nitalipa,anena Bwana.
20Lakini ,Adui yako akiwa na njaa,mlishe;akiwa na kiu, mnyweshe;maana ufanyapo hivyo,utampalia makaa ya moto kichwani pake.
21Usishindwe na ubaya,bali uushinde ubaya kwa wema.

kwa mantiki hiyo mimi namwachia Mungu ashughulike na Kiranga na wote wanaofanana na yeye wanaotaka kuwakwaza wenzao.Nambariki kwa jina la Bwana.
Natoa Dedication wimbo wa gospel wa Neema Mushi unaitwa RAHA JIPE MWENYEWE(anayeweza kuniwekea hapa live ntashukuru).
Nadhani umenipata Kata

My dear sister Charity nimekupata ,sasa kwenye hizo blue/bold juu mbona unakuwa kama ungependa baadhi ya watu humu wapate adhabu-na hata ikiwezekana kutoka kwa mungu?Kuna mtu ambaye amesema katika JF ili upate uhondo/utamu wa thread yako ni vizuri ukapata criticism,sasa hao si ungewakubali kwa maoni yao ?regardless kama ndio wamekupata wewe kama a way to earth out their stresses or what?Dooo umenifurahisha na jinsi unavyotumia biblia-hivi hapo kwenye zaburi nasikia kuna kijisehemu kinamaanisha mtu ukiisoma vizuri biblia unaweza hata kum punish mtu akapata mambo amabayo ni mabaya kama ugonjwa nk?Huku niliko sina access ya biblia. Nasikia tkt Tanzania zimeanza kutolewa bure za millions of money-si ungejaribu na huko dada?:blah:
 
My dear sister Charity nimekupata ,sasa kwenye hizo blue/bold juu mbona unakuwa kama ungependa baadhi ya watu humu wapate adhabu-na hata ikiwezekana kutoka kwa mungu?Kuna mtu ambaye amesema katika JF ili upate uhondo/utamu wa thread yako ni vizuri ukapata criticism,sasa hao si ungewakubali kwa maoni yao ?regardless kama ndio wamekupata wewe kama a way to earth out their stresses or what?Dooo umenifurahisha na jinsi unavyotumia biblia-hivi hapo kwenye zaburi nasikia kuna kijisehemu kinamaanisha mtu ukiisoma vizuri biblia unaweza hata kum punish mtu akapata mambo amabayo ni mabaya kama ugonjwa nk?Huku niliko sina access ya biblia. Nasikia tkt Tanzania zimeanza kutolewa bure za millions of money-si ungejaribu na huko dada?:blah:
Katabazi sikiliza.Mie sikatai Critisism lakin isiwe matusi.NOOOOOO,matusi au lugha isiyopendeza siifagilii.
Na kumbuka kuwa apandacho mtu ndicho atakachovuna.Umtendee mwenzio upendavyo kutendewa naye ukiwa kwenye viatu vyake.Na mara nyingi ADHABU kutoka kwa Mungu uwe hai au umekufa haziepukiki.Mungu ni mwenye HURUMA sana lakini ni mwenye HAKI pia.Mimi kama mimi siruhusiwi kulipiza maovu na ndio maana nikataka AMANI na Kiranga.
Zaidi sana nasikitika sana kuwa huna access na BIBLIA(nadhani upo afghanistan au Pakstan),lakini hapo kwenye red sijakuelewa kama unaweza fafanua.
 
jamani hili suala halijesha tu humu? the way i c it.........................

kiranga was loud and clear kuwa yeye ki principle hawezi kuendeleza tabia ya omba omba. its not about a person is about the tabia. hata kwenye matani yeye hawezi kutania kuhusu ombaomba

charity was loud and clear kuwa she is joking atleast to most ppl who hang out kwenye hili jukwaa la mapenzi coz she gives the impression that she is a lady with principles ( wale wasiokuja hapa sana though walibakia na ki question mark hivi LABDA)

the rest of the crowd are caught up on weither to go along with the joke from charity or stick to the no omba omba principle of kiranga.
 
Back
Top Bottom