Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Nyani Ngabu
Kiranga ..:drum:
What the hell do you mean?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyani Ngabu
Kiranga ..:drum:
Hii chumba ni ya mapenzi na mapendo story zingine sijui zinatokea wapi....aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaagh
- Forum
- Public Forums
- Mahusiano, mapenzi, urafiki
- Harambee: Kuiona Mechi ya Brazil na Taifa stars
Good morning good people
Thank you
Keep Well
Mmmmh! kweli wewe ni Kiranga kama jina lako sasa si Udiss nationalism yako kuna m2 kakukataza?
Acha one track mindedness. Nikikwambia namwambia ukweli huyu dada kwa sababu napenda maendeleo yake huwezi kuelewa.
...ungekuwa na evidence hii sio mara ya kwanza dada charity kuomba,ningekuelewa zaidi,,,
...hizi ni story zako,havina uhusiano na si sawa,unalazimishia ionekane ni sawa mpk unatia aibu...!
Teja likikuomba ili liende kujidunga haijalishi kwamba ni mara ya kwanza linaomba au vipi. Ukilipa utakuwa umechangia kuliua.
Ya harambee na ya mpira.Aspirin
Unaulizia matokeo ya harambee au? :]
Hehehehe.... vyombo viligoma kumwimbia rais wimbo wa taifa LOLMarhabaa....mama hajambo nyumbani?
Siku ya Brazil si umeme ulizimwa kati ya mechi vile au?
Hehehehe.... vyombo viligoma kumwimbia rais wimbo wa taifa LOL
hivi gharama zililipwa na nani? serikari au TFF? maana nilisikia wakilalamika kupata hasara