Harambee: Kuiona Mechi ya Brazil na Taifa stars

Harambee: Kuiona Mechi ya Brazil na Taifa stars

Neno la Mungu katika Rum 12:14-21 inasema hivi.........
14Wabarikini wanaowaudhi;barikini,wala msilaani.
15Furahini na pamoja nao wafurahio;lieni pamoja nao waliao.
16Mpatane nia zenu ninyi kwa ninyi.Msinie yaliyo makuu,lakinimkubali kushughulishwa na mambo manyonge.Msiwe watu wa kujivunia akili.
17Msilipe mtu ovu kwa ovu.Angalieni yaliyo mema machoni pa watu wote.
18Kama yamkini,kwa upande wenu,mkae katika amani na watu wote.
19Wapenzi,msijilipize kisasi,bali ipisheni ghadhabu ya Mungu Mungu;maana imeandikwa,kisasi ni juu yangu mimi;mimi nitalipa,anena Bwana.
20Lakini ,Adui yako akiwa na njaa,mlishe;akiwa na kiu, mnyweshe;maana ufanyapo hivyo,utampalia makaa ya moto kichwani pake.
21Usishindwe na ubaya,bali uushinde ubaya kwa wema.

kwa mantiki hiyo mimi namwachia Mungu ashughulike na Kiranga na wote wanaofanana na yeye wanaotaka kuwakwaza wenzao.Nambariki kwa jina la Bwana.
Natoa Dedication wimbo wa gospel wa Neema Mushi unaitwa RAHA JIPE MWENYEWE(anayeweza kuniwekea hapa live ntashukuru).
Nadhani umenipata Kata


charity plz give us a break.....hapa itabidi nikukosoe sista
dont go 'fool around' with ppl kisha umuingize Mungu kati kati. Mungu hapendi kuingizwa kwenye mambo ya kipuuzi hata kidogo.
u were joking, kiranga didnt get it, he assassinated ur character, u assassinated his
then unamshitakia mungu amlipe kiranga! akilipwa hapa my dear u will also get ur fair share!
let jokes and discussions remain as that........
lets leave God out of it
 
charity plz give us a break.....hapa itabidi nikukosoe sista
dont go 'fool around' with ppl kisha umuingize Mungu kati kati. Mungu hapendi kuingizwa kwenye mambo ya kipuuzi hata kidogo.
u were joking, kiranga didnt get it, he assassinated ur character, u assassinated his
then unamshitakia mungu amlipe kiranga! akilipwa hapa my dear u will also get ur fair share!
let jokes and discussions remain as that........
lets leave God out of it
Mkuu Gaijin,
Naomba angalia red, kwa mtizamo wangu, huyo ndg ulisema hajui utani na yuko serious. Kwa hiyo hata wao wanapojibiana ni tofauti na wengine wetu ambao tuko kwenye jokes.
Kwa maana hiyo sioni tatizo kama mungu akiingililia kati na ndio maana hayo mafunuo na zaburi etc zilielekezwa kwake wanayepambana out of jokes. Naona Mungu ndie atakayewaamua -wewe subiri kidogo. wengine wacha tuendelee na kutoa michango na kutotoa-ahaaaaaaaaaha
:smile-big:
 
Katabazi sikiliza.Mie sikatai Critisism lakin isiwe matusi.NOOOOOO,matusi au lugha isiyopendeza siifagilii.
Na kumbuka kuwa apandacho mtu ndicho atakachovuna.Umtendee mwenzio upendavyo kutendewa naye ukiwa kwenye viatu vyake.Na mara nyingi ADHABU kutoka kwa Mungu uwe hai au umekufa haziepukiki.Mungu ni mwenye HURUMA sana lakini ni mwenye HAKI pia.Mimi kama mimi siruhusiwi kulipiza maovu na ndio maana nikataka AMANI na Kiranga.
Zaidi sana nasikitika sana kuwa huna access na BIBLIA(nadhani upo afghanistan au Pakstan),lakini hapo kwenye red sijakuelewa kama unaweza fafanua.


Nilikuwa na maana huko TZ kuna jamaa anaitwa Manji na Dewji wamenunua tiketi na wanagawa buuuure kwa wapenzi kama nyinyi.
Ni kweli niko karibu na hapo ila kusini.Hii biblia na misaafu havipatikani online?
Umebakiza siku 2-bado hujapata mtu wa nguvu kukuokoa kwenye hii thread dada?


 
Katabazi ................hapa kulikuwa na mutual assassination of character!

but as u said ..............it is btw them so i will let it slide and go about my business
 
Katabazi mie sishindani na mtu yeyote hapa JF,sina muda huo.As long as nimetoa hii post yangu sijam-offend mtu yoyote basi nina haki ya ku-present ninachokitaka.
Tatizo watu wanapenda kuingilia uhuru wa wenzao na kuwachokonoa hadi machoni.Wengine shari hatujazoea.

Tatizo watu timid, mtu akija na a passionate discussion of the issue mnamuona mchokozi. Hatutaki kufikiri critically, tunaishi bora liende tu, kufikiri sana na kuumiza kichwa hatutaki.

Tunataka kuombaomba tu, hatutaki kujiuliza kwa nini watu wazima, kwenye nchi iliyojaa rasilimali tunakuwa ombaomba tu.

Ukija na kusema ukweli, kukemea uombaomba kama mtu yeyote decent anavyotakiwa kufanya, unaonekana mchokozi.

Unayo haki yako ya kujieleza na hata kuombaomba, na nimesema niko tayari kitetea haki yako hii, lakini na mimi kwa kutumia misingi hiyo hiyo nina haki ya kujieleza hapa, nina haki ya kupinga hii tabia ya uombaomba.

Especially kama uombaomba wenyewe ni kwa ajili ya mambo ya anasa usiyoweza kuyamudu.
 
Huyu mwanamke ni cross section ya Watanzania wengi na jinsi wanavyofikiri.
 
Kiranga usitutie sote kwenye Kapu moja...............

wengine twapenda hasa heated discussions ..........

problem kubwa ya hapa JF ni watu wana float kwa makundi................na ndio maana discussions zinakuwa zimedorora.
 
charity plz give us a break.....hapa itabidi nikukosoe sista
dont go 'fool around' with ppl kisha umuingize Mungu kati kati. Mungu hapendi kuingizwa kwenye mambo ya kipuuzi hata kidogo.
u were joking, kiranga didnt get it, he assassinated ur character, u assassinated his
then unamshitakia mungu amlipe kiranga! akilipwa hapa my dear u will also get ur fair share!
let jokes and discussions remain as that........
lets leave God out of it

Don't sweat this god bullshyt, some of us reasoning beings don't even believe in his existence.

Go ahead, make my day, pray that I stray
I'll be drinking champagne from Oakland to Oysterbay
Brooklyn to Bangladesh, I pay in cash
And need I rehash, that I still got my stash
Not one cent for Brazil though
On that I'm hard like my steel toe
Or should I say stiff like a lesbian's dildo
In your face like a billboard
Don't make me go postal, tsunamic, coastal
And shyt on y'all beggy beggy peeps, alosto
Stay your position in life, know your station
Don't come up in here with your mental masturbation
You want the high life, but don't have the finances
Next thing you know you're everybody's fiance
Wannabe Beyonce with extravagant fancies
Guess what, you ain't standing no chances
Better grab a book or something get an education
Get a job, some real salary, then help the nation
Then instead of begging, you'll be helping others
Your sibling, family maybe father and mother
For some real shyt, not some fancy bothers
Not some big ticket items that have no meaning
Showing off ain't the way, if you're about winning
Keeping up with the Joneses, will deflect your bonuses
And that's the gospel truth from the paupers to the Onassis
 
ombeni mtapewa,taifa letu lenyewe linaomba msaada,kuomba sio dhambi muda mwingine unakuwa haupo sawa,sio kila siku j2 hata nchi matajiri nao wanakopa/wanaomba pia(sio lazima iwe pesa)mimi mwenyewe nipo ktk kampeni ya kuomba au nipate tiketi ya kuona kombe la dunia,kutoa ni moyo usambe si utajiri(kama una nia ya kumsaidia mtu msaidie hutaki basi haina haja ya kashfa)
 
ombeni mtapewa,taifa letu lenyewe linaomba msaada,kuomba sio dhambi muda mwingine unakuwa haupo sawa,sio kila siku j2 hata nchi matajiri nao wanakopa/wanaomba pia(sio lazima iwe pesa)mimi mwenyewe nipo ktk kampeni ya kuomba na ninaongeza bidi vilevile nacheza hata bahati nasibu ili nipate tiketi ya kuona kombe la dunia,kutoa ni moyo usambe si utajiri(kama una nia ya kumsaidia mtu msaidie hutaki basi haina haja ya kashfa)
 
ombeni mtapewa,taifa letu lenyewe linaomba msaada,kuomba sio dhambi muda mwingine unakuwa haupo sawa,sio kila siku j2 hata nchi matajiri nao wanakopa/wanaomba pia(sio lazima iwe pesa)mimi mwenyewe nipo ktk kampeni ya kuomba au nipate tiketi ya kuona kombe la dunia,kutoa ni moyo usambe si utajiri(kama una nia ya kumsaidia mtu msaidie hutaki basi haina haja ya kashfa)

Nimeongelea kuhusu kuomba hapo juu, nimeongelea hata mimi mwenyewe ninavyoamini katika kutoa, kama unajua kusoma rejea beti hiyo hapo juu na posts zangu za awali.Hamna ubaya katika kuomba.

Lakini ukija kuniomba ili uende kufanya anasa isiyo na tija, tena inayoliingizia taifa hasara, ni lazima tutofautishe kuomba kuliko necessary na kuombaomba bila tija.

Dada angekuwa anapitisha Harambee ya ada ya shule hapa, ili kuweka sawa elimu yake naye kesho aje kuwa na mchango mzuri zaidi kwa taifa ningemuelewa.

Angekuwa anatuambia kakosa kodi ya nyumba anataka kufukuzwa, tungeweza kidogo kuwa na sympathy naye.

Angekuwa hana chakula, moyo wa kibinadamu ungetuingia tuanze kumsaidia kwanza halafu maswali mengine yaje baadaye.

Lakini kuomba ili kwenda kwenye anasa? Tena asivyo aibu kuna viti vya 30,000 lakini yeye kaona huko hakumfai anaomba malaki. Tena mwenyewe anatuambia bwana wake priority yake ni kunywa bia, ina maana bwana wake anywe bia halafu gharama za kwenda mpirani aje kutuvika sie hapa. Hivi akili hiyo?

Hivi unaona hii akili kweli?

Na tangu lini kusema kweli kukawa kashfa?

Au unataka kuonyeshwa mfano wa kashfa?
 
Shoga unaniabisha.
Anayekufa kwa kiu ziwani huyo ni mzembe.
Wala huna haja ya kuomba michango.
hebu ni'PM nikupatie mbinu ya kuingiza pesa za chap chap.

MH? :angry:
 
People just can't handle rhetorical warfare. And it behooves me to say that this is a major albatross to our development.
 
sio lazima kutoa,ila usimtusi mwenzio,jaribu kidogo kuwa na lugha nzuri,sasa kashfa kejeli zote za nini?ndio starehe yake ukiona haikufai basi kaa kimya mwache,usipende sana kumwingilia mtu kiundani hasa starehe yake,hata wewe ukichunguzwa una starehe zako ni bughudha kwa mwenzio,kwahiyo usijiona wewe ndio kila ufanyalo upo sahihi kumuona mwenzio yupo si sahihi,jibu fupi sitoi basi haina haja kuleta kashfa na kutoleana maneno mengi yasio na lugha nzuri.
 
Duh ....Kiranga naona umeshuka na mistari! U can give Kanye a run for his money

gutierez .............saa nyengine mnaaibisha hasa na huo utetezi wenu! ikiwa wewe unataka pia kuomba it means ni sahihi?
 
sio lazima kutoa,ila usimtusi mwenzio,jaribu kidogo kuwa na lugha nzuri,sasa kashfa kejeli zote za nini?ndio starehe yake ukiona haikufai basi kaa kimya mwache,usipende sana kumwingilia mtu kiundani hasa starehe yake,hata wewe ukichunguzwa una starehe zako ni bughudha kwa mwenzio,kwahiyo usijiona wewe ndio kila ufanyalo upo sahihi kumuona mwenzio yupo si sahihi,jibu fupi sitoi basi haina haja kuleta kashfa na kutoleana maneno mengi yasio na lugha nzuri.

Of course sio lazima kutoa.

Unachoona wewe kashfa na matusi, mwenzio anaona ukweli unaohitajika na tough love.

Lugha nzuri ndiyo inatufanya tuwe masikini tusiofikiri kila siku, tunahitaji some tough love, some artful, even colorful language ili tutie akili.

Mimi napenda huyu dada aendelee, ndiyo maana nampa some tough love.Nyinyi watetezi wake mnaoona mna mprotect, kiukweli mnamfanya awe tegemezi zaidi.

Mimi ni kama mtu anayemnyang'anya madawa ya kulevya mteja aliyezoea kujidunga.Of course kwanza atakuwa na withdrawal symptoms, atatoa tantrum flares and all, baada ya miezi kadhaa ya detox akiweza kuwa drug free atakuja kunishukuru.Kwamba kaka wakati ule unaninyima madawa ya kulevya nilikuwa nakuona mbaya, lakini sasa nimekuelewa. Na wale waliokuwa wananiwezesha ndio wabaya wangu halisi.

Kama Charity anaweza kujifunza chochote katika thread hii ni kwamba ngoma yake ngumu maisha haya, kiasi kwamba hata kwenda mpirani tu anaomba, kama ana akili achukulie hii situation kama a wake up call.Afanye mchongo wa kuboresha maisha yake, asome, atafute kazi afanye biashara ili mradi aondokane na aibu hii.

Na kama ni kweli hali yake ni mbaya hivi, na anachukua ushauri wangu, kuna siku atakuja kuona kwamba kweli mimi ndiye nilikuwa rafiki yake wa kweli.

Na hao watetezi wake walikuwa hawana interest na maisha yake kwenda vizuri in the long term.

That's some real talk, that's what we need.Sio mambo ya kuvishana vilemba vya ukoka, mgonjwa anakufa kwa ngoma yuko kitandani ana kilo mbili halafu anakwambia "hali yangu nzuri".
 
Jamani mie hapa nimeshusha pumzi kwani kuna nini tena kimetokea?naona kama Taleban inataka kuhamia hapa..Teamo..Chrispin naomba Tusker baridiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii sana ..:typing:
 
sio lazima kutoa,ila usimtusi mwenzio,jaribu kidogo kuwa na lugha nzuri,sasa kashfa kejeli zote za nini?ndio starehe yake ukiona haikufai basi kaa kimya mwache,usipende sana kumwingilia mtu kiundani hasa starehe yake,hata wewe ukichunguzwa una starehe zako ni bughudha kwa mwenzio,kwahiyo usijiona wewe ndio kila ufanyalo upo sahihi kumuona mwenzio yupo si sahihi,jibu fupi sitoi basi haina haja kuleta kashfa na kutoleana maneno mengi yasio na lugha nzuri.


Ha ha ha! Kwa hoja Zako Dhaifu Mkuu utalikimbia Jamvi au utamuona kila mtu Mgomvi na Mtukanaji
 
Neno la Mungu katika Rum 12:14-21 inasema hivi.........
14Wabarikini wanaowaudhi;barikini,wala msilaani.
15Furahini na pamoja nao wafurahio;lieni pamoja nao waliao.
16Mpatane nia zenu ninyi kwa ninyi.Msinie yaliyo makuu,lakinimkubali kushughulishwa na mambo manyonge.Msiwe watu wa kujivunia akili.
17Msilipe mtu ovu kwa ovu.Angalieni yaliyo mema machoni pa watu wote.
18Kama yamkini,kwa upande wenu,mkae katika amani na watu wote.
19Wapenzi,msijilipize kisasi,bali ipisheni ghadhabu ya Mungu Mungu;maana imeandikwa,kisasi ni juu yangu mimi;mimi nitalipa,anena Bwana.
20Lakini ,Adui yako akiwa na njaa,mlishe;akiwa na kiu, mnyweshe;maana ufanyapo hivyo,utampalia makaa ya moto kichwani pake.
21Usishindwe na ubaya,bali uushinde ubaya kwa wema.

kwa mantiki hiyo mimi namwachia Mungu ashughulike na Kiranga na wote wanaofanana na yeye wanaotaka kuwakwaza wenzao.Nambariki kwa jina la Bwana.
Natoa Dedication wimbo wa gospel wa Neema Mushi unaitwa RAHA JIPE MWENYEWE(anayeweza kuniwekea hapa live ntashukuru).
Nadhani umenipata Kata
HEHEHEHE!
wewe ungekuwa binti yangu ningekusomesha upadre haraka sana
 
FL acha Tough love itembezwe mara moja moja ..................as long as nobody takes it seriously and doesnt get personal, sioni tatizo

hapa mwenzio nimeanza kuchukulia kama imekuja thread na jina ........kuomba kunaruhusiwa au la?
 
Back
Top Bottom