Harambee: Kuiona Mechi ya Brazil na Taifa stars

Harambee: Kuiona Mechi ya Brazil na Taifa stars

Teamo..Chrispin naomba Tusker baridiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii sana ..
hehehehe!nakuletea taska VUGUVUGU maana hali ya hapo ROCK-CITY leo naona sio yenyewe hivi
 
FL acha Tough love itembezwe mara moja moja ..................as long as nobody takes it seriously and doesnt get personal, sioni tatizo

hapa mwenzio nimeanza kuchukulia kama imekuja thread na jina ........kuomba kunaruhusiwa au la?

Sawasawa

Kuomba kunaruhusiwa, lakini kuwe kuomba kwenye akili.

Sio teja linakuja, linataka kufanya anasa zake za madawa ya kulevya, anasa ambazo zitaliua, halafu linakuomba.

Ukilipa teja hapo damu yake itakuwa juu yako.Maana liki overdoze huko watu watasema "fulani na fulani walikuwa wanampa hela ajidunge"

Huyu dada ni teja, teja wa high life na anasa ambazo hawezi kuzimudu. Ukimpa hela utakuwa unamuwezesha kuendeleza uteja.Siku moja ataoverdoze maisha yake yote yatakuwa topsy turvy.

Naomba umpe tough love na usiwezeshe uteja huu.

Kama nilivyosema mwanzo, angekuwa naomba kwa vitu vya msingi tungemuelewa.Lakini si kwa anasa, anasa inayoingizia taifa hasara.
 
hehehehe!nakuletea taska VUGUVUGU maana hali ya hapo ROCK-CITY leo naona sio yenyewe hivi

ha ha ha siku ya leo naiogopa kama mvua za radi ...ongeza ziwe tatu tafadhari....... Valuu inafaa sana
 
Sawasawa

Kuomba kunaruhusiwa, lakini kuwe kuomba kwenye akili.

Sio teja linakuja, linataka kufanya anasa zake za madawa ya kulevya, anasa ambazo zitaliua, halafu linakuomba.

Ukilipa teja hapo damu yake itakuwa juu yako.Maana liki overdoze huko watu watasema "fulani na fulani walikuwa wanampa hela ajidunge"

Huyu dada ni teja, teja wa high life na anasa ambazo hawezi kuzimudu. Ukimpa hela utakuwa unamuwezesha kuendeleza uteja.Siku moja ataoverdoze maisha yake yote yatakuwa topsy turvy.

Naomba umpe tough love na usiwezeshe uteja huu.

Kama nilivyosema mwanzo, angekuwa naomba kwa vitu vya msingi tungemuelewa.Lakini si kwa anasa, anasa inayoingizia taifa hasara.

Kiranga please unafika mbali sana brother tunaomba amani iendelee kuwepo .....
 
Kiranga please unafika mbali sana brother tunaomba amani iendelee kuwepo .....

Hivi mbona mko sensitive hivyo nyinyi? Yaani hamuwezi kabisa passionate debate. Siku mkija kuwasikiliza akina Rush na Carville si ndio mtazimia kabisa...toughen up!
 
Nimeipenda sana hii Debate ningeomba ipate Afya zaidi
 
FL unakuwa too sensitive na wewe! kwani si mwenyewe anajijua kuwa si teja!?

Kuomba is a bad habit hata kwa vitu vya maana. Mtu ukiwa na shida ya lazima basi unatakiwa uombe watu wako wa karibu kwanza na shida yako itakapokuwa haijatatuliwa tu ndio uombe watu wa nje. na Uoambaji kwa watu wa nje usiwe easy kihivyo..............lazima watu wa feel kuwa huyu amelazimika hapa ameishiwa na options
 
Hivi mbona mko sensitive hivyo nyinyi? Yaani hamuwezi kabisa passionate debate. Siku mkija kuwasikiliza akina Rush na Carville si ndio mtazimia kabisa...toughen up!

hahaha na wewe Nyani Ngabu wewe nani azimie tunawaza maisha bwana tunawaza kutafuta mihela fainali uzeeni kiranga ndo amekasirika
Ombi:Natamani ungekuwa kwenye Jopo unasaidia kuwakemea mafisadi ingesaidia sana
 
Kiranga please unafika mbali sana brother tunaomba amani iendelee kuwepo .....

Sasa unakataa kwamba huyu si teja?

Ni bora kutoa tough love ndogo hapa, ambayo ikifuatiliwa itazuia maafa makubwa baadaye. Kwa mtaji huu huyu dada anaenda kwenye train wreck huko mbele.

Kwanza anahatarisha relationship yake na bwana wake.Mwanamke mzima anapiga mizinga watu bila aibu huoni kwamba anajirahisisha hapa?

Akikutana ma mi pedejee inayoamini jasho la mtu haliliwi na there is no free lunch in this world?

Watu wanaweza kum sponsor kwenda kuangalia mechi ya Brazil, halafu wakitoka hapo wakadai mechi nyingine kwenye kiwanja cha sita kwa sita sehemu sehemu.

Sasa wewe unafikiri bwana wake akija kujua kwamba kulikuwa na mchongo ambao una harufu tu ya kwenda hivyo kutakuwa naamani nyumbani?

Ndiyo maana nasema ni bora tough love ndogo itakayozuia vishawishi vingine kama hivi kuliko kujifanya tuna keep amani ambayo inakuja kuleta dafrao huko mbele.

Msiwe naive hivyo.
 
FL unakuwa too sensitive na wewe! kwani si mwenyewe anajijua kuwa si teja!?

Kuomba is a bad habit hata kwa vitu vya maana. Mtu ukiwa na shida ya lazima basi unatakiwa uombe watu wako wa karibu kwanza na shida yako itakapokuwa haijatatuliwa tu ndio uombe watu wa nje. na Uoambaji kwa watu wa nje usiwe easy kihivyo..............lazima watu wa feel kuwa huyu amelazimika hapa ameishiwa na options

Ok ok Gaijin nyc day to u ngoja nikapalilie kidogo bustani za mboga mboga
 
hahaha na wewe Nyani Ngabu wewe nani azimie tunawaza maisha bwana tunawaza kutafuta mihela fainali uzeeni kiranga ndo amekasirika
Ombi:Natamani ungekuwa kwenye Jopo unasaidia kuwakemea mafisadi ingesaidia sana

Mbona nipo sana na tena sana tu. Na baadhi yao nshawazaba na vibao...tatizo wewe ni mgeni hapa. Umekuja mwaka jana wakati wenzio tuko tokea 2006 na hata kurudi nyuma tokea Nyenzi, bcstimes.com, YA, n.k.

Watu maveterani bana
 
hahaha na wewe Nyani Ngabu wewe nani azimie tunawaza maisha bwana tunawaza kutafuta mihela fainali uzeeni kiranga ndo amekasirika
Ombi:Natamani ungekuwa kwenye Jopo unasaidia kuwakemea mafisadi ingesaidia sana

Even in the third person...

Kiranga hajakasirika, naona hata Nyani Ngabu point yake huielewi.Kuna tofauti kati ya kukasirika na a passionate debate.Mimi ninaleta a passionate discussion.It will take more than this kunikasirisha.

Halafu msifanye "kuwakemea mafisadi" iwe useless cliche.

Kuomba omba ili kwenda kufanya anasa zisizo msingi, anasa zinazoliingizia taifa hasara nako ni ufisadi vile vile.

Kwa hiyo kukemea hili ni kukemea ufisadi vile vile.
 
Ndg yangu Kiranga na dada yangu Charity, nimefurahishwa na jinsi mnavyo debate-nina imani hii debate huenda hata baada ya ya mechi kuisha ikaendelea.
Kwa faida yangu tu naomba kama inawezekana tu kuniambia proffesion zenu kwa neno moja tu e.g Engineer,biz man/woman,mwalimu,mkulima etc.
Hii mada,sijawahi kuona mada hot kama hii !Nimejifunza mengi,sikujua kuwa mtu unaweza kuzungumza nae mpaka ikafikia kama unamuona live!
 
Ndg yangu Kiranga na dada yangu Charity, nimefurahishwa na jinsi mnavyo debate-nina imani hii debate huenda hata baada ya ya mechi kuisha ikaendelea.
Kwa faida yangu tu naomba kama inawezekana tu kuniambia proffesion zenu kwa neno moja tu e.g Engineer,biz man/woman,mwalimu,mkulima etc.
Hii mada,sijawahi kuona mada hot kama hii !Nimejifunza mengi,sikujua kuwa mtu unaweza kuzungumza nae mpaka ikafikia kama unamuona live!

Nafurahi kuona watu wanaelewa maana ya passionate debate na wanaweza kutofautisha hii na hasira/ uhasama.

Mimi ni Mjasiriamali Incorporated, zaidi ya hapo kuna ma privacy clause yanakuwa invoked, au sio?

Lakini haya mambo mara nyingine si lazima profession wala nini, kuna ma Engineer ombaomba na wabeba zege wanaendesha makampuni yao. Ni maswala ya common sense, examination of life, kuwa mkweli kuhusu hali yako, kuishi within your means, kutokuwa na tamaa, kufanya kazi zaidi ili kuboresha maisha yako, kuchukia utegemezi na uombaomba etc.

Ni kanuni fulani basic tu katika maisha.

Bahati mbaya common sense is no longer very common nowadays.Kila mtu anataka shortcut, anataka kuomba tu, hataki kujishughulisha na kufikiri jinsi za kupambana na maisha, anataka wenzake wamchangie wakati yeye hana uwezo hata wa kuchangia mtu, analeta ubinafsi etc etc.

Zaidi ya yote, analeta uombaomba huu katika mambo ya anasa!

This is wrong.
 
Mbona nipo sana na tena sana tu. Na baadhi yao nshawazaba na vibao...tatizo wewe ni mgeni hapa. Umekuja mwaka jana wakati wenzio tuko tokea 2006 na hata kurudi nyuma tokea Nyenzi, bcstimes.com, YA, n.k.

Watu maveterani bana
Du umenikumbushia Nyezi mwanangu, wewe ndo ulikuwa nani~Dues, Mdosi Mzalendo, Curties au nani vile. Gone are the good old days!.
 
JAMANI MWENYE UWEZO AMCHANGIE TU MAANA HIO MECHI NI HISTORIA KWELI IDONT THINK KWA MIAKA YA KARIBUNI TUTAWEZA SHUHUDIA MPAMBANO KAMA HUO....:hug:
 
1.This is my chance ndio maana ningefurahi sana kama angalau ningekaa kwenye jukwaa la laki mbili,huko Kamera ya CNN,SKAI NEWS na BBC inaweza kunipitia(sore ofutopiki).
2.Mie sina chochote ndugu yangu ndio maana nikaona niombe mchango,wahenga walisema mficha nanihii hazai.
3.Sijawahi kuingia uwanja huo wa taifa ndio maana nimeomba msaada huu niweke historia achilia mbali kuona mechi za kimataifa(labda kwenye luninga)
4.Nia yangu ni kuona mpira hivyo nikipata free pass nitashukuru pia.(ila hela ya maji ya kunywa uwanjani nayo ni muhimu)
Nadhani nimejibu vema tall.

tiketi za 200000 zimeisha tuangalie walau 30000/= mimi sichangii chochote kwako kwani natakiwa ninunue delivary kit ya shemejio cunajua anajifungua siku mbili tatu zijazo
 
JAMANI MWENYE UWEZO AMCHANGIE TU MAANA HIO MECHI NI HISTORIA KWELI IDONT THINK KWA MIAKA YA KARIBUNI TUTAWEZA SHUHUDIA MPAMBANO KAMA HUO....:hug:

Hii ndiyo shortsighted thinking ninayoipiga vita. Hatuwezi kuangalia vitu kwa marefu ya kina, hatuwezi kujiuliza kwa nini huyu dada ni masikini, hatuwezi kutoa chanzo cha utatuzi wa matatizo sugu.

Tunataka kutibu TB kwa kutumia Cofta, kuna kansa limejikita hapa ndani, sie tunaweka ki plasta juu kwenye kidonda.

Shallow thinking ya kuishi day by day, unampa msaada huyu dada aende kuangalia mpira leo kesho anakufuata na kimzinga kingine, tena cha anasa anasa tu, si mfadhili bwana.

Usitake kufuga uzembe hapa, lazima ukweli tuambizane.Kama mtu anataka anasa sawa, hakatazwi, lakini ajue kuweza kupata fedha za ku finance anasa zake.

Sio anasa zake yeye, gharama zetu wote. Ndiyo maana hatuendelei, vitu vingine tunaweza kuviona vidogo kama hivi lakini ni muhimu sana na vinaelezea our collective psyche.

Msifuge uteja humu, kitu na box lazima kielezwe, tough love muhimu.
 
Back
Top Bottom