Harambee Stars(Kenya) wapo Ufaransa , The Cranes(Uganda) wapo Abu Dhabi, Les Léopards(DRC) wapo Hispania. Je, Taifa Stars(Tanzania) wapo wapi?

Harambee Stars(Kenya) wapo Ufaransa , The Cranes(Uganda) wapo Abu Dhabi, Les Léopards(DRC) wapo Hispania. Je, Taifa Stars(Tanzania) wapo wapi?

Ndo mana nakwambia kwanini sikuzote hujawahi toa haya malalamiko ila baada ya timu yako kukosa ubingwa ndo umeanza kutoa kasoro....hizi changamoto kwa soka la africa ni kitu cha kawaida...jana kuna timu tena fainali ya kombe la africa Waydad inafunga goli zuri tu refa anakataa wachezaji wanamwambia refa akacheki marudio kwenye VAR wanaenda kucheki VAR hazifanyi kazi...wamesubiri lisaa limoja haziwaki wachezaji wa waydad wakagoma kurudi uwanjani refa akaamua kumaliza mpira ESP wakapewa ubingwa wa mezani...sasa ingekuwa ni yanga kafanyiwa hivyo mbona humu pasingekalika...mtu kama analalamika mechi ya mwisho ya Mtigwa na Simba kuanza saa 9 wakati wengine wameanza saa 10 mtu kama huyo sijui tumweke kundi gani....hajui kuwa mechi za mwisho huwa zinachezwa muda mmoja kuepusha kupanga matokeo....matokeo ya mtigwa na simba ya aina yoyote yalikuwa hayana athari kwa timu nyingine na ile ilikuwa ni kuwahi kwa sababu kulikuwa na sherehe za kukabidhi kombe...tatizo mnadanganywa sana na Zahera...sasa shangaa ya mechi za mwisho ligi kuu tanzania simba kucheza saa 9 wakati timu nyingine zinaanza kucheza saa kumi na kuna watu mnalalamika...Zahera kule kwao Congo ligi imeisha na timu karibia zote zimemaliza michezo but kuna timu bado zina mechi tatu mkononi wakati nyingine zimemaliza mechi
Zinapopangwa mechi zote muda mmoja haijalishi nani ana umuhimu gani akishinda au kufungwa,naona umeandika Insha tu bila kuniambia hayo niliyokuolozeshea yalitokea lini,Kuna sababu yeyote ya msingi kwa nini mpaka zinabaki mechi sita Azam na Yanga hawajacheza hata mechi moja?
 
Hapana bwana,labda wanaona hawatatoboa hata wakijiandaa.Ila donner kantri tunashindwa fanya maandalizi kwa team yetu kweli ?
Tunajiandaa mbona! Kuna mtaalamu mzuri (mganga) anatutengeneza kwanza.
 
Zinapopangwa mechi zote muda mmoja haijalishi nani ana umuhimu gani akishinda au kufungwa,naona umeandika Insha tu bila kuniambia hayo niliyokuolozeshea yalitokea lini,Kuna sababu yeyote ya msingi kwa nini mpaka zinabaki mechi sita Azam na Yanga hawajacheza hata mechi moja?
Naona umekremisha tu kuwa mechi za mwisho lazima zichezwe muda mmoja...sema sasa effect ya mtigwa na simba kutangulia kucheza mechi saa tisa imeziathiri vipi timu zilizocheza mechi saa kumi???nimekwambia logic ya mechi za mwisho kucheza muda mmoja ni kuepuka upangaji wa matokeo...or wewe labda unajua logic nyingine zaidi ya hii niambie...azam na yanga kubakiza mechi sita bila kucheza mechi hata moja ni mwingiliano wa ratiba ndo ulisababisha mechi ya round ya kwanza isichezwe
 
Naona umekremisha tu kuwa mechi za mwisho lazima zichezwe muda mmoja...sema sasa effect ya mtigwa na simba kutangulia kucheza mechi saa tisa imeziathiri vipi timu zilizocheza mechi saa kumi???nimekwambia logic ya mechi za mwisho kucheza muda mmoja ni kuepuka upangaji wa matokeo...or wewe labda unajua logic nyingine zaidi ya hii niambie...azam na yanga kubakiza mechi sita bila kucheza mechi hata moja ni mwingiliano wa ratiba ndo ulisababisha mechi ya round ya kwanza isichezwe
Huna hoja kama Fed ilishatangaza mechi zote kuchezwa muda mmoja haijalishi ni faida au hasara gani inapatikana kwa team;Kwani Team za EPL au La liga zilizocheza muda mmoja zote zilikua zima faida?na mbona umekomaa na hoja moja tu nyingine umepotezea? Na leo umeona wageni rasmi wa Azam Cup wamevaa nguo za CCM?
 
Huna hoja kama Fed ilishatangaza mechi zote kuchezwa muda mmoja haijalishi ni faida au hasara gani inapatikana kwa team;Kwani Team za EPL au La liga zilizocheza muda mmoja zote zilikua zima faida?na mbona umekomaa na hoja moja tu nyingine umepotezea? Na leo umeona wageni rasmi wa Azam Cup wamevaa nguo za CCM?
Ulaya kila mechi inafaida na kila nafasi inapesa yake..hata timu inayoshuka daraja kule kuna pesa inapewa ndo mana mechi za mwisho zinachezwa muda mmoja unless kuwe na exception...mechi ya simba na mtigwa ilikuwa ni mechi ya simba kukabidhiwa ubingwa so lazima ianze mapema...ulitake ianze saa kumi alafu ubingwa wakabidhiwe usiku...logic ya wewe kutaka mechi zichezwe muda mmoja ni ipi...mbona hata huko ulaya kuna timu zinatofautianaga muda wa kucheza mechi za mwisho pale kunapokuwa na exceptions ili mradi tu matokeo ya iyo mechi hayawezi kuziathiri timu nyingine...wewe kwakuwa ume kremu tu ni mechi za mwisho unataka zichezwe muda mmoja ukiulizwa kwanini huna sababu...kongo huko kuna timu zimemaliza ligi na kunatimu zimebakisha mechi tatu but kila siku zahera anawadanganya tu kuwa hajawahi ona maajabu kwenye mpira kama ligi ya tanzania anasahau maajabu ya kwao
 
Ulaya kila mechi inafaida na kila nafasi inapesa yake..hata timu inayoshuka daraja kule kuna pesa inapewa ndo mana mechi za mwisho zinachezwa muda mmoja unless kuwe na exception...mechi ya simba na mtigwa ilikuwa ni mechi ya simba kukabidhiwa ubingwa so lazima ianze mapema...ulitake ianze saa kumi alafu ubingwa wakabidhiwe usiku...logic ya wewe kutaka mechi zichezwe muda mmoja ni ipi...mbona hata huko ulaya kuna timu zinatofautianaga muda wa kucheza mechi za mwisho pale kunapokuwa na exceptions ili mradi tu matokeo ya iyo mechi hayawezi kuziathiri timu nyingine...wewe kwakuwa ume kremu tu ni mechi za mwisho unataka zichezwe muda mmoja ukiulizwa kwanini huna sababu...kongo huko kuna timu zimemaliza ligi na kunatimu zimebakisha mechi tatu but kila siku zahera anawadanganya tu kuwa hajawahi ona maajabu kwenye mpira kama ligi ya tanzania anasahau maajabu ya kwao
Jibu hoja zingine nilizotoa za udhaifu wa TFF mbona unahoroja tu kwani aliyesema mechi zitachezwa muda mmoja kabla ni mimi?
 
Jibu hoja zingine nilizotoa za udhaifu wa TFF mbona unahoroja tu kwani aliyesema mechi zitachezwa muda mmoja kabla ni mimi?
Kumbe unajua hukusema wewe kuwa zitachezwa muda mmoja....sasa wakicheza muda tofauti kwanini uteseke??alafu hoja gani hizo...hoja za zahera aliyewachukua mashabiki wa yanga wawe misukule yake??
 
Tunajijua uwezo wetu... kule tunaenda kukamilisha ratiba tu, ambae hajui ni nani?
 
Back
Top Bottom