Hahaha hahaha hahahaSafiiiiii, huu ushangiliaji ni wa kizalendo haswa
Wa leo ndo mpira, hakuna kuremba! Ni kupambana tuu
Acha tuu, atafanya "press conference" usiku huu huu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Juhudi za awamu pendwa...
Hatutakunywa maji
haha hahahahaTusikitike kidogo[emoji21]
Shamra shamra zetu zatosha bana!Match ilivyo tamu natamani hata ningekutoroka niende kibanda umiza kuliko kuangalia nyumbani bila hata shamra shamra.
Pale dua za hasi na chanya zinapokutana[emoji23][emoji23][emoji23]cute b anajua dua zangu zilivyo na nguvu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahaha hahaha hahaha hahahaAcha tuu, atafanya "press conference" usiku huu huu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nasikia tuu sare zimefanana hata sielewi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Daaah
Naomba uthamini wa kisimbusi chako.Namwona wapi[emoji23][emoji23][emoji23]sijalipia king'amuzi.
Nipo napiga porojo tuu hapa .
Wewe vijembe vya bashite pakikucha ukivisikia ndiyo utaelewa nilikuwa namaanisha nini[emoji23][emoji23][emoji23]Mmmh
Ngapi ngapi huko[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa kweli siamini kama Leo umeamua kunisaliti. Mapenzi yako kwa Tanzania yanayumbishwa ba muheshimiwa sanaaaa???
Wewe vijembe vya bashite pakikucha ukivisikia ndiyo utaelewa nilikuwa namaanisha nini[emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe acha hizoHaaha nimecheka hadi nimewaamsha watoto jamani...hivi daudi nanawaza ccm tu hana jipya
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Daaah bashite sijui anatumia uchawi gani
Senegal sio level zetuLeo tunacheza mpira mzuri mno kama sio sisi tuliocheza na senegal
hahaha hivi ni bingwa wa madoido na kukeraAcha tuu, atafanya "press conference" usiku huu huu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eeh mna mkono mrefu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hivi unajua kama Sisi tuna mkono mrefu???
ni kweli lkn tulicheza hovyo mnoSenegal sio level zetu