Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo yule mganga anayeibaga kura[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mganga wake mkaliiiiii
😭😭😭😭😭😭😭😭😭[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwa hiyo hapa mimi mwenyewe ndiyo siyo mzalendo.
Bora hata ulikosa nafasi ya kwenda AFCON
Mpuuzi tu weweNipo kuwabembeleza wakenya watufunge[emoji17][emoji17][emoji17]
Atapokelewa airport siku ya kurudi kwa kubebwa juu huu.hahaha hivi ni bingwa wa madoido na kukera
Hatujali possession sisi, tunasubiri la tatu hapaFanya hivyo jamani.
Vipi possession nani anaongoza?
Unanilipia mkuu?
[emoji23][emoji23][emoji23]TBC AU?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Basi rudi nyumbani kumenoga
Kabisa, TZ ikishinda Leo basi wataambulia japo draw against AlgeriaTukishinda mechi ya Leo
Dalili za kupita kama best looser ipo ndio
Sawa diaaa[emoji23][emoji23][emoji23]ngapi ngapi?Hahaha hahaha hahaha
Hebu kaa utulie ukule bana!
[emoji23][emoji23]We are back!
Hatuna bando[emoji23][emoji23].
2---1Sawa diaaa[emoji23][emoji23][emoji23]ngapi ngapi?
Hatuna bando[emoji23][emoji23].
Yaani hawa ccm wamefanya kila kitu kikawa kigumu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama nakuona huko uliko!
Duh! Really?? Tell me more please na wala usinione mzalendo saaaaaaaaana 🤣🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23]nimechoka kuunga juhudi kwa kazima kwenye maisha halisi na huku mtandaoni pia.
Haujui tuu ni kiasi gani leo tulivyoungishwa juhudi kwa kazima na jezi nimenunua[emoji17][emoji17][emoji17]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Natetemeka baridi. Nimejifunika gubigubi. Nachatia ndani ya shuka.
Kenya wamejua kuniaibisha[emoji23][emoji23]