Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
Umekasirishwa na nini tenaaaa????Nilivyokasirika mpaka nimeghairisha ratiba zangu zote za mwezi huu wa sita
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umekasirishwa na nini tenaaaa????Nilivyokasirika mpaka nimeghairisha ratiba zangu zote za mwezi huu wa sita
SawaaMmmhh Nn tv yako iko nyuma
Tulilolitaka wazalendo wengi limekuwaNajua tuu hapa Mechi ikiisha tutapongezana kwa kumwangusha Bashite.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Daah nimecheka imeghaili kufunga nisije pata vidonda vya tumbo bureeAsante kwa maombi yako[emoji23][emoji23][emoji23]
Hao wachezaji watrot tu misri mpaka bongoFT
Kenya 3- UVCCM 2
Nahodha wa UVCcm ni Bashite.
Bashite ulitutukana mchana, sasa sijui utatuambia nini watanzania na mambo yako ya kuigawa nchi.
Yaani unasema stars ni Ccm.
I hope Karma saved you what you deserve. Haya kesho basi la SAA 12 urudi [emoji23][emoji23]sorry ndege.
Mkuu, kwani rangi ya CCM ni rangi gani?Pia na rangi ya jezi imechangia sisi kupigwa
HahahaWoyoooooo woyooooo, woyooooooo.
Kenya mmejua kumwaibisha bashiteee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Sijui atarudijeeee. Bashite akirudi anakuta Spika anamsubiria airport[emoji23][emoji23][emoji23]
Umekasirishwa na nini tenaaaa????
Asante dearJamani poleee
Naomba ubaki huko huko kibanda umiza.Hahahahaahahahahahahah
Kuna mtu hapa kibanda umiza anamtukanaa kochaaaaa hahaahahahahah
Hahahahah a hahahahahYaani Wewe
Una damu ya mkimbizi kabisaaa
🙏🙏🙏🙏🙏Na ni kwasababu sitaki upasuke[emoji23][emoji23]