Harambee Stars vs Taifa Stars official thread

Harambee Stars vs Taifa Stars official thread

Ooh na na, what's my name? Harambee Stars
Ooh na na, what's my name?Harambee Stars
Ooh na na, what's my name? Harambee Stars
Ooh na na, what's my name? Harambee Stars Ooh na na, what's my name? Harambee Stars
What's my name? Omolo
What's my name? Olunga
Yeah, I heard you good with them Taifa Stars Yeah you know word of mouth The square root of Afcon is Magufuli Bashit-e, right?

game over nilikuambia lazima tukung'ute Taifa failures....@ichoboy01 tukikohoa mnakuja mbio.
Umefungua Uzi ukajificha.
Harambee stars nilikuwa MWENYEWE hapa nimepambana wewe unakuja baada ya ushindi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa hiyo na Mimi unanichukia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha hapana ila nachukia wakenya ila wewe ni mnafiki wa wakenya na sio mkenya
 
Msianze kiburi, tumewaachia kwa kuwa tulikuwa na mchawi nyumbani tunataka tumkamate ugoni
Ndiyo ukweli huo.
Tunaipenda Timu yetu lakini kitendo cha kubatizwa jina la Ccm ndiyo imetuumiza. I hope amejifuza next time hatorudia tena.

Yaani Mimi niombee ccm Mimi? Hapo bashite ndipo alipoharibu.
 
Umefungua Uzi ukajificha.
Harambee stars nilikuwa MWENYEWE hapa nimepambana wewe unakuja baada ya ushindi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaahahahhaahahah

Because you are the hero
 
Back
Top Bottom