Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
The night is darker before dawnHonestly hivi kila mtu maisha kwake ni magumu hivi?
au am cursed?
napitia ile moment ambapo kila kitu hakiendi,kila ninachogusa kinaharibika zaidi asee.
wezetu huwa mnapitaje kipindi kama hiki ?
mambo ni magumu mno aloo!
Pole sana mkuuHonestly hivi kila mtu maisha kwake ni magumu hivi?
au am cursed?
napitia ile moment ambapo kila kitu hakiendi,kila ninachogusa kinaharibika zaidi asee.
wezetu huwa mnapitaje kipindi kama hiki ?
mambo ni magumu mno aloo!
πwee kweli tuje wawili π
Unakaa na naniSina mume
Na wazaziUnakaa na nani
Nauza Simu Mkuu yani huwezi amini.Dah pole mkuu , hiyo bidhaa uza hata humu
Biashara imeshift sana kutoka kusubiria customers mpaka kutafuta wateja.
Mimi niko kwenye anguko kubwa la kiuchumi,nimeshindwa kujimudu mpaka nashangaa
Sawa leo ntakuja kulaNa wazazi
upo wapi mkuuNamuomba kila siku ,namwamini hataniangusha
Sawa leo ntakuja kula
sahihi kabisa mkuu ushauri wenye uzito wakePole, ila ukiona mambo magumu yanakaa muda mrefu ujue unatakiwa ubadilike, Kuna mahala kwenye maisha yako panaitaji changes na wewe Bado unabishana na mabadilko, kubishana na hatima hakumwachi mtu salama,
Pokea hayo magumu Kwa Mikono miwili kisha anza kubadilika, lazima Kuna mahala panaitajika mabadiliko, chunguza eneo unaloishi, mazingira yako, rafiki zako, watu wako wa karibuu, n.k
Ukifanyia kazi hili utakuja kutoa ushuhuda hapa.
Kama ni sekta hiyo tayari nishachuma fimbo na nimeipaka pilipili.Kwenye ishu gani? Mana isije ikiwa unazungumzia mapenzi π
Ni kawaida mzee, muhimu apo ni kutuliza akili na kuyapanga hayo magumu na kuona uanze na lipi kulingana na mazingira yako. Tuliza oblangata.Honestly hivi kila mtu maisha kwake ni magumu hivi?
au am cursed?
napitia ile moment ambapo kila kitu hakiendi,kila ninachogusa kinaharibika zaidi asee.
wezetu huwa mnapitaje kipindi kama hiki ?
mambo ni magumu mno aloo!
Kwa penzi unalonipa natamani unioe kabisa daddyKwenye ishu gani? Mana isije ikiwa unazungumzia mapenzi π
Whaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaat
Pesa napata Ila zinapita Kama status π deal nazo haziendi kabisa.. Asante afya ipo.. familia ipo..kazi zipo. Ila pesa hazikai kabisa.Aisee mkuu ni hatari,mtaa umenuna
Kila unachogusa ndio unaharibu zaidi
Maisha ni magumu mno
Kumbe jana sikulala njaa peke yangupole sana hata me sijala ila naamini kesho tutakula.