Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
Tupo wengi mkuu na wengine hatujui hata tutakula niniKumbe jana sikulala njaa peke yangu
Nachojua nitakula mihogo ya jero katikati ya asubuhi na mchana.Tupo wengi mkuu na wengine hatujui hata tutakula nini
Bora ya weweNachojua nitakula mihogo ya jero katikati ya asubuhi na mchana.
Ni haujui tu,unaweza ukawa humu na bando na simu vyote hunaSio ma
Sio magumu hadi bando unalo!
Kumbe simu,uza hata humu mkuu.Nauza Simu Mkuu yani huwezi amini.
Nipo iringa now mkuuupo wapi mkuu
Kweli life limekazaBora ya wewe
....fuvuKweli life limekaza
Tumchapie makalion 😂Kama ni sekta hiyo tayari nishachuma fimbo na nimeipaka pilipili.
Ni kupiga tu mpaka aombe majiTumchapie makalion 😂
Mkuu pambana maisha hayana excuse bahati mbaya sana kama ni mwanaume, unatakiwa kusimama kwa miguu yako, wenzetu huwa option zote zikigoma anaweza kujilengesha kwa mshkaji akasaidiwa maisha. Pambana usichague kaziHonestly hivi kila mtu maisha kwake ni magumu hivi?
au am cursed?
napitia ile moment ambapo kila kitu hakiendi,kila ninachogusa kinaharibika zaidi asee.
wezetu huwa mnapitaje kipindi kama hiki ?
mambo ni magumu mno aloo!