Hardest moment to be alive!

Hardest moment to be alive!

Honestly hivi kila mtu maisha kwake ni magumu hivi?
au am cursed?
napitia ile moment ambapo kila kitu hakiendi,kila ninachogusa kinaharibika zaidi asee.
wezetu huwa mnapitaje kipindi kama hiki ?
mambo ni magumu mno aloo!
Mkuu pambana maisha hayana excuse bahati mbaya sana kama ni mwanaume, unatakiwa kusimama kwa miguu yako, wenzetu huwa option zote zikigoma anaweza kujilengesha kwa mshkaji akasaidiwa maisha. Pambana usichague kazi
 
God did!!!
Kidogo relief imepatikana,tusiache kusema matatizo yetu
PXL_20250225_223202672~2.jpg
 
Back
Top Bottom