Harmo Rapa atimua mbio baada ya Mh. Nape kuoneshwa bastola

Amfungulie kesi ya kutishia kuua kwa bastola
 
Hahahaha hilarious walahi! Maisha matamu!
 
No comment. Russia, n. korea, china, rwanda, uganda, cuba now TZ??????
 
Hiyo askari lazima tumtafute mtaani tu.


Swissme
 
Sasa huo mchango si ndio kazi aliyoajiriwa ,mtu unapoajiriwa na kufanya kazi ni kutekeleza majukumu ya kazi yako,kwani hiyo kazi alikuwa akiifanya bure?
 
Kwahy una nguv kmzidi rais alietoa amri ya yote?kuwn wazalendo wa nch hao wazee sindo walioigarib nch hii kwa rushwa kbwa tena haipingki au hilo hujui?
 
Ngoja nisubr page ya dada mange atamsema tu
Let us wait
Hakuna haraka afrika
 
Mi naona hawa sio askari , askari na kama ni askari hawana weledi. Wameshindwa kutoa kitambulisho kujitambulisha kisha kueleza lengo lao
 
Movie tu hiyo.
fry to hell nimekufuatia wewe mwanadada ila sasa umevunja sana utu wako. Please be a bit quite hapa siyo movie unajua unaweza in future ukajuta haya yote uliyokuwa unapost. Hujui unamshabikia nani kama ni Bashite anaweza asiwe yeye kama ni Makonda anaweza asiwe yeye wewe unapokea tu at the end of the day????@?
 
Day harmorapa kweli kaniacha hoi

Ila kitenge ni shujaa sana, mpaka jamaa akaufyata na kabastola make

Hao askari wapumbavu wa aina hiyo ndio wanafanya nchi hii we hapa
 
mwanamuzi chipukizi wa mziki wa kizazi kipya,harmorapa,alikuwepo Leo mitaa ya protea hotel kumsindikiza kijana mwenzie wa kimakonde na mbunge wa mtama, nape nnauye.

hali ilibadilika ghafla pale nape nnauye alipo tolewa "mguu wa kuku" ili kumshinikiza arudi garini.ndipo harmorapa alipoonekana kukimbia ili kuokoa maisha yake.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji24]

tazara video
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…