Weeee chezea chamoto wewe atakama ujalengwa kwenye wengi akuma ustenepa yaweza kukupata sio mlengwa
Bastola yenyewe aliiweka mkono wa kushoto wakati yeye anatumia mkono wa kulia, huyu tiss hana uzoefu wa kutumia bastola, kwanza anaitoa bastola kishamba kabisaMsanii Harmo rapa leo alienda kwenye kikao cha Mh. Nape kilichokuwa kinafanyia kwenye hoteli ya Protea. Baada ya kutokea sintofahamu askari/usalama alitoa bastola na kumnyooshea Nape Nnauye, tukio lile lilimpa wazimu Harmo Rappa na kujikuta anatimua mbio asijue aendako.
Vipi umeuona mjeans mjeans?Hebu tuwekee hiyo video na sisi tuone hiyo jeans aseee