Harmo Rapa atimua mbio baada ya Mh. Nape kuoneshwa bastola

Harmo Rapa atimua mbio baada ya Mh. Nape kuoneshwa bastola

Hivi huyu Jamaa aliemtolea Nape Bastola ni nani?

Yaani kabisa ndio wamefundishwa hivyo huko TISS? Yaani yeye hawezi kujenga hoja? Au anafikiri mtu mpaka kufikia hatua ile anaogopa hizo Risasi?

Kwanza kavaa jeans ya kishamba sana kapelo ya kikoromije! Wenzake wote wako smart and Busara za Hali ya juu.

Inamaana yeye Ndiye aliambiwa Kamtoe akikataa PIGA RISASI ILKUSUDI TUTAWALE BILA OBSTACLES?

Mimi kama Mtanzania sijapenda kabisa lakini uzuri wa KARMA ni kama Kioo, Haidanganyi hata ufe Leo, Itakuandama tu.

Ewe mtoa uhai kwa Bastola Amewaaibisha sana Wenzio Leo, Huyo Bado ni Mbunge na Anajua siri nyingi sana za chama na serikali huenda kuliko wewe na huyo mwenzio aliebariki matumizi ya Bastola.. mmeona Bunduki na Bastola ndio mkombozi Wenu...

Mungu Haendi Likizo.


Mtu kaombwa kitambulisho tu katoa pisto angeombwa cheti huyo walahi angelipua bomu
 
Naombeni namba za hamorapa jamani ninashida nae
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Haka kajamaa kanajua sana wapi upepo unavumia... Ila kiboko wa mabishooh Muoga hatareee....Hahahahahahaahhhh....
 
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Naombeni namba za hamorapa jamani ninashida nae
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
hamorapaaaa
umethibitisha kuna namna nyingi za kutokea
yan accidentally imemkuta tu ile scene
 
😀😀😀Watanzania mwambieni mdogo wenu Hamorapa hawezi kukimbia akaishinda risasi.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
 
Kusema kweli Nape nae kamuonyesha jamaa dharau mbaya sana.huyo jamaa mzuka kweli ulimpanda na angeweza kumuwasha kweli ingawa hakutumwa kufanya hivyo.
Pia kuna somo katika hiyo clip. Watu wengi waliokuwepo pale hawaonekani kutishika kwa kutolewa silaha hiyo. Niliwahi kuwaambia watu kuwa, usiombe kuwaongoza watu waliojizira (waliokata tamaa) mwisho wake huwa mbaya sana.

Kama mamlaka husika hawataitafakari video hiyo na kujifunza kitu, basi tutaianza Tanzania iliyotajwa tajwa.

MUNGU HAWEZI KUTUPATIA AMANI WAKATI TUNAMUOMBA HUKU TUMESHIKA MAPANGA.
 
Sijaelewa pia Kitenge anamaanisha nini kumwambia jamaa utaharibu mambo sasa"
Nape ndiye aliyeanza kuwaambia hao "wanafunzi wa CCP walioko kwenye mafunzo kwa vitendo" kuwa wanaharibu. Picha niliyoipata ni kuwa wanaharibu taswira ya chama ambacho alihangaika kuisafisha.
 
Sijaelewa pia Kitenge anamaanisha nini kumwambia jamaa utaharibu mambo sasa"
Jamaa alichosema kiko wazi kwamba angesababisha mambo makubwa pengine ambayo hata hayakuitajika kwa pale ukizingatia kamera zote zilikuwepo pale na ni kama busara kumsaidia askari kanzu si kwamba ni kitengo.Kitenge ni mjumbe wa kuwezesha Serengeti boys pia ni mshikaji na Nape ndo maaana alinunua ugomvi.
 

[emoji23][emoji23] nchi inakoenda sijui ila nawatakia asubuhi njema
 
Back
Top Bottom