Harmo Rapa atimua mbio baada ya Mh. Nape kuoneshwa bastola

Harmo Rapa atimua mbio baada ya Mh. Nape kuoneshwa bastola

Sisiemu hawakawihi kukutoa utumbo.........R.I.P Mwangosi D. & Muuza magazeti.
 
hao wanaomsema hamorapa hata wangekuwa wao ukute wangekimbia...huwezi ogopa kifo kama umejiandaa
 
Yeye alienda kumpa pole mfikwa na majanga cha ajabu badala ya kutoa msaada anamkimbia tena jamani??? Na wangemsambaratisha mpua wake kama sketi ya solo
acha dharau ya kipuuzi hebu weka picha yako hapa tukuthaminishe
 
Yeye alienda kumpa pole mfikwa na majanga cha ajabu badala ya kutoa msaada anamkimbia tena jamani??? Na wangemsambaratisha mpua wake kama sketi ya solo
Aliyemuumba yule anaweza akaumba huo mpua kwako au watoto uwe unauona live hahaha
 
Yeye alienda kumpa pole mfikwa na majanga cha ajabu badala ya kutoa msaada anamkimbia tena jamani??? Na wangemsambaratisha mpua wake kama sketi ya solo
Binafsi huwa sipendi mtu anayekosoa kazi ya Mungu kwa msingi wa maumbile ya binadamu! rubii, nina imani wewe binafsi una kasoro ktk umbo lako la mwili. Let us be fair please.
 
Yeye alienda kumpa pole mfikwa na majanga cha ajabu badala ya kutoa msaada anamkimbia tena jamani??? Na wangemsambaratisha mpua wake kama sketi ya solo
hujafa hujaumbika, we mwenzetu uliandika wapi barua ya maombi uumbwe na Pua ndogo kama kisimi cha bikra'
 
Aliyemuumba yule anaweza akaumba huo mpua kwako au watoto uwe unauona live hahaha


Ni Kweli yote yanawezekana mpendwa




Binafsi huwa sipendi mtu anayekosoa kazi ya Mungu kwa msingi wa maumbile ya binadamu! rubii, nina imani wewe binafsi una kasoro ktk umbo lako la mwili. Let us be fair please.



Sasa hapo nimekosoa uumbaji wa Mungu upi?? Ningekua anapua mchongoko ningesema ungeona sawia kabisaaa?
 
Ni Kweli yote yanawezekana mpendwa








Sasa hapo nimekosoa uumbaji wa Mungu upi?? Ningekua anapua mchongoko ningesema ungeona sawia kabisaaa?
We fanyia mzaha kazi ya Mungu
 
Back
Top Bottom