FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Aisee nimecheka sana kuona alivyotoka mbio kali..!hahahahaahahahahahah..!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiki kiswahili kinanipa shida sana halafu wako wengi wanaandika hiviSiraha sio mchezo. Kwa kweri kukimbia ni harari yake.
Kaah! Nilisha acha kucheka imebidi nianze tena. Dogo anaenda kutafuta kiki kwenye vita! Tena mstari wa mbele!Tatizo dogo kazidi misifa
Mkurya huyo, hawanaga L. [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hiki kiswahili kinanipa shida sana halafu wako wengi wanaandika hivi
ndio hapo sasa..Atleast he was there.
Nape alijaribu kutetea brand za baadhi wa wasanii, cha ajabu hao aliokuwa anawatetea hawakuonekana.
acha dharau ya kipuuzi hebu weka picha yako hapa tukuthaminisheYeye alienda kumpa pole mfikwa na majanga cha ajabu badala ya kutoa msaada anamkimbia tena jamani??? Na wangemsambaratisha mpua wake kama sketi ya solo
Aliyemuumba yule anaweza akaumba huo mpua kwako au watoto uwe unauona live hahahaYeye alienda kumpa pole mfikwa na majanga cha ajabu badala ya kutoa msaada anamkimbia tena jamani??? Na wangemsambaratisha mpua wake kama sketi ya solo
Binafsi huwa sipendi mtu anayekosoa kazi ya Mungu kwa msingi wa maumbile ya binadamu! rubii, nina imani wewe binafsi una kasoro ktk umbo lako la mwili. Let us be fair please.Yeye alienda kumpa pole mfikwa na majanga cha ajabu badala ya kutoa msaada anamkimbia tena jamani??? Na wangemsambaratisha mpua wake kama sketi ya solo
acha dharau ya kipuuzi hebu weka picha yako hapa tukuthaminishe
Ngoja bi faizafoxy aje awarekebisheHiki kiswahili kinanipa shida sana halafu wako wengi wanaandika hivi
hujafa hujaumbika, we mwenzetu uliandika wapi barua ya maombi uumbwe na Pua ndogo kama kisimi cha bikra'Yeye alienda kumpa pole mfikwa na majanga cha ajabu badala ya kutoa msaada anamkimbia tena jamani??? Na wangemsambaratisha mpua wake kama sketi ya solo
Aliyemuumba yule anaweza akaumba huo mpua kwako au watoto uwe unauona live hahaha
Binafsi huwa sipendi mtu anayekosoa kazi ya Mungu kwa msingi wa maumbile ya binadamu! rubii, nina imani wewe binafsi una kasoro ktk umbo lako la mwili. Let us be fair please.
hujafa hujaumbika, we mwenzetu uliandika wapi barua ya maombi uumbwe na Pua ndogo kama kisimi cha bikra'
Hivi ni kweli mnashindwa kutofautisha kati ya L na R au hua mnafanya kusudi? Yaani mpaka nikisoma nahisi kichefu chefuSiraha sio mchezo. Kwa kweri kukimbia ni harari yake.
Siraha ni noma aisee.... Wara cna aha hamu ya kuuriza popote
We fanyia mzaha kazi ya MunguNi Kweli yote yanawezekana mpendwa
Sasa hapo nimekosoa uumbaji wa Mungu upi?? Ningekua anapua mchongoko ningesema ungeona sawia kabisaaa?
Naona Kama kinakua kwa kasi humu jukwaani.Hiki kiswahili kinanipa shida sana halafu wako wengi wanaandika hivi