rubii
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 14,032
- 18,540
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku zote aulizaye kwa mbwembwe hujibiwa kama alivyouliza. Mleta mada katumia 'R' na mimi nimetumia R vivyo hivyo. Sio kwamba sijui kuandika hizo LHivi ni kweli mnashindwa kutofautisha kati ya L na R au hua mnafanya kusudi? Yaani mpaka nikisoma nahisi kichefu chefu
Hey! you need to work on ur sense of humour chill!Embu ondoa porojo, uliona zimelengwa walipo au kubebwa tu?
Msikuze mambo nyie.
The way unavyo respond, inaelekea una ka ujinga ujinga Fulani hivi amazing!Kwa mtazamo wako!
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Yeye alienda kumpa pole mfikwa na majanga cha ajabu badala ya kutoa msaada anamkimbia tena jamani??? Na wangemsambaratisha mpua wake kama sketi ya solo
HahahahaSiraha ni noma aisee.... Wara cna aha hamu ya kuuriza popote
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Hiki kiswahili kinanipa shida sana halafu wako wengi wanaandika hivi
Hawa hawaelewi kuwa ilikua Ni sarcastically intended to put R instead of L don't debate them it kills the funSiku zote aulizaye kwa mbwembwe hujibiwa kama alivyouliza. Mleta mada katumia 'R' na mimi nimetumia R vivyo hivyo. Sio kwamba sijui kuandika hizo L
Duh washamfuata na kumhoji?! Kweli hawana Dogo hahahaaa!Nasikia amesema mlitaka aikumbatie?
[emoji15] [emoji15] [emoji3] [emoji3]Hivi ni kweli mnashindwa kutofautisha kati ya L na R au hua mnafanya kusudi? Yaani mpaka nikisoma nahisi kichefu chefu
The way unavyo respond, inaelekea una ka ujinga ujinga Fulani hivi amazing!
Sijui kama upo timamu weweKwa mtazamo wako!
Sijui kama upo timamu wewe
Bora ungekaa kimya tu, bi dada!Ndio au Hapana yote yanaweza kuwa majibu sahihi ndugu.
Bora ungekaa kimya tu, bi dada!