Harmo Rapper aopoa demu mkaleee...

watanzania tuna matatizo sana hivi Harmo Rappa kafanya kosa gani hadi anatukanwa kiasi hiki duuuu
Hivi ni kweli sote kwenye familia zetu...twaonekana wazuri kwa watu wote....
Harmo Rappa usivunjike Moyo ,usiteteleke,shikilia hapo hapo ......hahahah
[emoji23] [emoji23]
 
Msanii Harmo Rapper, kwa ambao hawamjui ni jamaa aliyejitengenezea umaarufu kwa kufanana na Harmonize, kisha akawa ana rap, so yeye ni hrmonize anaye rap henze =Harmo Rapper
Kiukweli Mungu ndie ajuaye,,,hakuna mtu aliyetamani kua kama alivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…