[emoji23] [emoji23]watanzania tuna matatizo sana hivi Harmo Rappa kafanya kosa gani hadi anatukanwa kiasi hiki duuuu
Hivi ni kweli sote kwenye familia zetu...twaonekana wazuri kwa watu wote....
Harmo Rappa usivunjike Moyo ,usiteteleke,shikilia hapo hapo ......hahahah
Kiukweli Mungu ndie ajuaye,,,hakuna mtu aliyetamani kua kama alivyoMsanii Harmo Rapper, kwa ambao hawamjui ni jamaa aliyejitengenezea umaarufu kwa kufanana na Harmonize, kisha akawa ana rap, so yeye ni hrmonize anaye rap henze =Harmo Rapper
Weka akiba,mkuu bado tunazaaMm nitakuwa namwita harmo erectus badala ya harmo rappa maana naona hilo la harmo erectus ndo linamfiti zaidi