Harmo Rapper: Hata kwa dau gani kamwe siwezi kujiunga na Wasafi

Duuuuu, wataalam wanasema jiamini kwa ulicho nacho lakini usijiamini kupita kiasi, harmo rapper ...... Komaaa bro usije jikuta mambo yanakuwa vice versa aseee
 
Huyu ukute kichaa.....halafu vyombo vya habari vinampa promo chizi sasa sijui ndio ugumu wa maisha au
 
Ni haki yake kikatiba kusema ya moyoni.
 
Aiseee
 
Harmorapa noma, sahivi anabadili totoz anavyotaka, soon utasikia kaopoa Wema Sepetu
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]

Sepenga hata ww ukitaka unaopoa
Walet yako tuu mkuu
Inaongea
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] akihijiwa

Otherwise Kick ndo
Hbr ya mjin kwa sasa
 
Rutta hapa una point...ukiwa msanii mdogo ukajiunga na mwenye jina, unaua kipaji na utaendelea kumwinua mkubwa na kumnufaisha.. bora athubutu kupigana kiume
 
Jamaa Yuko Vizuri, Anajiamini Balaa - Mimi Mwenyewe Namkubali. Hiyo Kule Kwetu Naija Tunaita " FAKE IT TILL YOU MAKE IT "
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…