Harmonise amefunga ndoa na Sarah

Harmonise amefunga ndoa na Sarah

isije kua kiki,mbona sioni ndugu kutoka chitowori tandahimba ntwara,au ndo uzungu mwingi maana ata bi mdash wa rajabu haonekani hapo please mtoa mada ongeza picha
 
Kushukuru ni Jambo zuri Sana katika maisha sio lazima utoe hela hata ukitambua mchango wa mtu inatosha big up kwa familia ya harmonize sio wote wanafanya hivyo.
 
Sijaelewa..

Itakuwa mambo ya vijana haya

Sie wazee ngoja tuendelee na Kuisoma namba
 
Kwa hiyo huyu bwana mdogo amatoka wasafi?
 
so impressive,nitaiga na mimi siku nikitaka kuoa wanangu wote from Songea ndo watakuwepo eneo la tukio
 
Mie naendaga angani sana kwa matembezi tu. ila siyo kwa uharibifu naomba msinipige madongo, atakae kaidi asije nilaumu, sasa basi ni hivi kivumacho ni hakidumu

Mzungu huyu alisha funga kizazi yaani hana mayai siku nyingi, hamonaizi amekula hasara hata pata mtoto, mtajaniuliza.
 
Back
Top Bottom