Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona mnakuwa hamueshimu mawazo ya mtu mwingine aisee?? Halafu mnataka demokrasia na uhuru wa kuongea.. BullshittUchawi wa ujanani huwa nauogopa sana
Juzi juzi mmakonde alizaa nje, mbona mzungu kajua katulia tu, kwao soko hakuna, bongo ndio tunawababaikia.Atulize kikojoleo,wazungu moyo wa uvumilivu hawanaga.
waokoke sasa maana Yesu amewasaidiaHongera kwake.
Hawapendi mambo ya ndoa ndoa.Dabuliyusibii wenzake mbona hawapo
ndiyo hiiIyo first comment ni ipi
roho ya koroshoHamna kitu hapo, hiyo ndoa haina mwaka haijavunjika, naipa mwaka 1 tu...