JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 7,808
- 16,972
Hii inaweza, kuwa, kiki ccm wanatengeneza, ili wananchi waache kufatilia u jambazi unaofanywa kwenye uchaguzi, wa, serikali za mitaa,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MARTINKwahyo jina lake la kikristo anaitwa nani?
Yani tuache kufuatilia vitu vya msingi tufuatilie Harmonize kuombewa?Hii inaweza, kuwa, kiki ccm wanatengeneza, ili wananchi waache kufatilia u jambazi unaofanywa kwenye uchaguzi, wa, serikali za mitaa,
Pepo ya mito ya pombe na ngono kwa wingi!?Katoka peponi anajiingiza motoni? Innallillah wainnah raajiun
Ni kweli kabisa, Mimi muislamu na marafiki zangu wengi wakristo na nawaheshimu sana sijawahi kuona shida kabisa tuko vizuri pande zote. Shida yangu moja wala sio du'a. Nimeona clip kama 2 hivi za video naanza na Diamond kuvaa cheni la msalaba hapa unajiuliza nini hii? Juzi namuona Mboso cheni ya msalaba unajiuliza nini hii? fashion au?Kufanyiwa maombi ndio kubadili dini?
Jambazi, makonda,na Anko, wake Maghu walikuwa wakishinda misikitini kufanyiwa Dua! Na, mashekh,na hawakuwahi kubadili dini!
Siku hzii kapata wa kumwandikia kingereza kwenye social media. safi sana.Wakuu,
Rajab Abdul Kahali maarufu Harmonize amepanda Madhabahuni na kupigwa maombi na Pastor Tony Kapola
===
Harmonize afanyiwa maombi na Pastor Tony Kapola sikuche baada kuonyesha kuvutiwa na mtazamo wa mtumishi huyo wa Mungu na kuandika, "Nataka nione kile ambacho Mungu ataniambia!!" View attachment 3148941
Jumapili hii Staa huyo wa Bongo Fleva amepanda kwenye madhabahu na kuombewa.
Pia, Soma: Video: Hili ndilo Gari alilopewa Eliud Samwel na Pastor Tony Kapola, Tazama Vibe lake
View attachment 3148942
View attachment 3148952
Wewe ndiyo mpumbavu kwani huyo kabla ya kwenda kanisani alikuwa mtu wenu wa maana sana 😢ndani ya dini yenu🙄 sasa hivi choko (shoga ) mwenye jina na mudi akienda kanisani waislamu wanamlilia kuwa kapotea alitakiwa awe shoga muislamu ... tumieni akili nyinyi makafiri wa dini mtajua LOGIC YANGU DINI MMEZIGEUZA USHABIKI HADI SASA MNAGOMBEA MALAYA NA MACHOKO KUWA NI WADINI ZENU VIPI MUISLAMU WA KWELI AUMIE MOYONI KISA CHOKO KAENDA KANISANI AU KAENDA FREEMASON NK ...UNGESE MTUPU
View: https://www.facebook.com/reel/398165979894101/?mibextid=rS40aB7S9Ucbxw6v
Waislamu na wakristo nyinyi nyote ni wapumbavu kama walivyo sema mitume wenu ndivyo mlivyo sasa ...mnajitukuza bure.... hata dini zenu amzi heshimu mioyoni mwenu bali midomoni tuPovu 😃
Kisha wewe upelekewe mpelumbeAmemaliza wa mtaani sasa anataka wana kwaya
Katoka peponi anajiingiza motoni? Innallillah wainnah raajiun