Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una maana gani kusema mwanamapinduzingoja nimpigie champion wangu mwanamapinduzi
hukusoma historia weweUna maana gani kusema mwanamapinduzi
Wala sio kwangaru, ni ile ya Burna BoyPongezi kwake pamoja na wasafi kwa kumsaidia alipofika cos project iliyomwingiza hapo ni kwangaru ambayo amefanya ikiwa chini ya wasafi.
Mkuu unawataka nini lakini wenye "timu" yao? 🙈Mi nilifikiri kaanza kujichubua kama Diamond, kumbe ni kuhusu kuchaguliwa?
Naangalia comments za baadhi yq watu zimejaa husda na wivu kwa kijana Harmonize...mwacheni kijana wa watu atambe kwa maana Mungu pekee ndiye ajuaye hatma ya maisha yake.
Imagine ata wengi wanaomtia kichwa hapa hawajui kama harmonize ana nyimbo mpya. Ndio maana tukisema huyo mtoto bila Wasafi afiki popote tunamaanisha.Project gani mkuu
We fa..la sanaImagine ata wengi wanaomtia kichwa hapa hawajui kama harmonize ana nyimbo mpya. Ndio maana tukisema huyo mtoto bila Wasafi afiki popote tunamaanisha.
[emoji23][emoji23]We fa..la sana
Ile sio nyimbo yake, ni ya edi kenzoImagine ata wengi wanaomtia kichwa hapa hawajui kama harmonize ana nyimbo mpya. Ndio maana tukisema huyo mtoto bila Wasafi afiki popote tunamaanisha.
JESHIHarmonize amekuwa msanii pekee mwaka huu kutokana East Africa kuchaguliwa kuwania tuzo za MTV EMA katika kipengele Cha Best African Act akichuna na wakali Kama Barnaboy na Nasty C
Unaweza kumpigia kura Harmonize kupitia
Kutipia www.mtvema.comView attachment 1221317View attachment 1221318
kashikwe na wewe ata MAKALIOAmepata notification hiyo baada ya kushikwa mkono alipokuwa wasafi.
Eddy Kenzo X Harmonize maana yake nyimbo ni ya Eddy Kenzo pamoja na Harmonize wote nyimbo yao.Ndivyo ile nyimbo Ilivyopostiwa youtube.Ile sio nyimbo yake, ni ya edi kenzo
Sasa sjui unasemaje ana nyimbo mpya , kashirikishwa tu
Hawezi akaelewa iyo ni zero brainSio kweli maana Wasafi hayupo harmonize peke yake
Burna Boy unamuweka wapi? wakat ndo anachukua Iyo tuzo..Harmo uko aliko anajua ukweliNimetoka kuvote kwa
Kondeboy
Shawn Mendez
Ariana Grande
na Billie Eilish
Naiman watachukua
We kilaza kweli atachukuaje wakati kura ndo zinaamuaAcha Unafiki Burna Boy unamuweka wapi? wakat ndo anachukua Iyo tuzo..Harmo uko aliko anajua ukweli
Shawn Mendes wa Siñorita?Nimetoka kuvote kwa
Kondeboy
Shawn Mendez
Ariana Grande
na Billie Eilish
Naiman watachukua
Hayupo harmonize lakini walishachukua tuzo kubwa kama BET,na kuwa nominated nyingi ko KUDOS kwa WCB ko dogo ujiangalie OK.Sio kweli maana Wasafi hayupo harmonize peke yake
Sasa kwani nimesema Kura hazipigwi? Wewe ndio kilaza utanielewa mda ukifika na nina subscribe huu uzi afta matokeo nitakujiaWe kilaza kweli atachukuaje wakati kura ndo zinaamua