Harmonize afikishwe sober house haraka, mihadarati inapeleka kubaya

Harmonize afikishwe sober house haraka, mihadarati inapeleka kubaya

Kusema mungu ni ke huoni kosa
Sasa kosa liko wapi wakati masuala ya Mungu ni masuala ya Imani.

Yeye anaamini Mungu ni Mwanamke na anahaki hiyo au ni lazima Imani yake ifanane na Yako ndio awe sahihi.

Kama Mungu sio Mwanamke unaweza wewe kumpinga lakini kwa kuwa niimani tunaheshimu mawazo yake na imani yake.

Mfano Wakristo wanaona Yesu ni Mungu na waislamu wanaona Yesu sio Mungu ni hakj ya kila upande kuamini inachokiamini na Wala sio kosa na mawazo ya kila mmoja yanaheshimiwa.
 
Sasa kosa liko wapi wakati masuala ya Mungu ni masuala ya Imani.

Yeye anaamini Mungu ni Mwanamke na anahaki hiyo au ni lazima Imani yake ifanane na Yako ndio awe sahihi.

Kama Mungu sio Mwanamke unaweza wewe kumpinga lakini kwa kuwa niimani tunaheshimu mawazo yake na imani yake.

Mfano Wakristo wanaona Yesu ni Mungu na waislamu wanaona Yesu sio Mungu ni hakj ya kila upande kuamini inachokiamini na Wala sio kosa na mawazo ya kila mmoja yanaheshimiwa.
Unajitahidi kutetea ujinga ila ukweli hizi tabia tukifungia macho zitazaa wapuuzi wengi
 
Leo nimejiridhisha kabisa juu ya msanii Harmonize kuwa mihadarati anayotumia na wanawake afikishe sober house mapema sana.

Hofu ya afya yake ya akili ilianza muda sana ila nikafunika kombe mwanaharamu apite ila bado akalifunua!

Tafadhali ficha ujinga hata nusu.

Mnajua kuna wakati mwingine tunatengeneza au tunawatengenezea watu mabalaa bila ya sisi kujijua, wakati huyo Harmonize anazungumza na Mwijaku kuhusu maoni yake, alimwambia ayasambaze? Je ni kweli hayo mazungumzo alikuwa akitaka kuwaeleza watu wote? au ilikuwa mahususi baina yake na Mwijaku? Huenda anapozungumza maneno hayo alikuwa si akili yake bali kilevi ndicho kilichomsaidia kusema hayo.
Kwa maoni yangu Harmonize amefanya kosa, lakini aliyesambaza upumbafu huu amefanya kosa kubwa zaidi ya Harmonize.
 
Harmonise Yuko sawa kabisa watu wengi leo tumewekewa Mentality (Colonial Mentality) Ya kijinga kuwa Mungu Ni mwanaume au Mungu Ni fulani..

Je umewahi kuchunguza huyo Mungu mwenyewe..

Mawazo yake ni Ya Kitheologia na wanazuoni wengi na wanatheolojia wamewahi kuhoji pia hivyo..

KUNA BAADHI YA VERSE KWENYE BIBLIA ZINAJARIBU KUONYESHA MUNGU KUWA NA UWEZO WA FEMINE ASPECTS..


ATAKAYEMUONA HARMONISE KAKOSEA NI MPUMBAVU NA MJINGA

What the early church thought about God’s gender of the Hebrew Bible&text=In the oracles of the,a mother comforting her children.
 
Harmonise Yuko sawa kabisa watu wengi leo tumewekewa Mentality (Colonial Mentality) Ya kijinga kuwa Mungu Ni mwanaume au Mungu Ni fulani..

Je umewahi kuchunguza huyo Mungu mwenyewe..

Mawazo yake ni Ya Kitheologia na wanazuoni wengi na wanatheolojia wamewahi kuhoji pia hivyo..

KUNA BAADHI YA VERSE KWENYE BIBLIA ZINAJARIBU KUONYESHA MUNGU KUWA NA UWEZO WA FEMINE ASPECTS..

ATAKAYEMUONA HARMONISE KAKOSEA NI MPUMBAVU NA MJINGA

What the early church thought about God’s gender of the Hebrew Bible&text=In the oracles of the,a mother comforting her children.
Sawa mimi nanawa mikono damu yangu haina hatia nimekueleza vya kutosha ukashupaza shingo
 
Mnajua kuna wakati mwingine tunatengeneza au tunawatengenezea watu mabalaa bila ya sisi kujijua, wakati huyo Harmonize anazungumza na Mwijaku kuhusu maoni yake, alimwambia ayasambaze? Je ni kweli hayo mazungumzo alikuwa akitaka kuwaeleza watu wote? au ilikuwa mahususi baina yake na Mwijaku? Huenda anapozungumza maneno hayo alikuwa si akili yake bali kilevi ndicho kilichomsaidia kusema hayo.
Kwa maoni yangu Harmonize amefanya kosa, lakini aliyesambaza upumbafu huu amefanya kosa kubwa zaidi ya Harmonize.
Ile ni insterlive sasa sijui huelewi nn?
 
Leo nimejiridhisha kabisa juu ya msanii Harmonize kuwa mihadarati anayotumia na wanawake afikishe sober house mapema sana.

Hofu ya afya yake ya akili ilianza muda sana ila nikafunika kombe mwanaharamu apite ila bado akalifunua!

Tafadhali ficha ujinga hata nusu.



Mwanaume punga pua katopoa na kuweka kipini au kihereni, kuna mtu hapo, uchafu tupu, mchafu wa mwili hadi tabia chafu
 
Ameuliza swali zuri tu. Kwanini tunasema MUNGU ni mwanaume? Apewe majibu.

Jibu la kwanza nampa mimi, kwa sababu suala la MUNGU ni suala la kiimani, na imani imefungamana na dini, na dini ina vitabu ambavyo ndo miongozo. Sasa katika vitabu vya dini vya kikristo na kiislamu vinamtambulisha MUNGU kama Mwanaume.

Yeye aseme anafuata dini ipi inayomtambulisha kuwa ni mwanamke.
 
Back
Top Bottom