Harmonize afikishwe sober house haraka, mihadarati inapeleka kubaya

Harmonize afikishwe sober house haraka, mihadarati inapeleka kubaya

Sawa mimi nanawa mikono damu yangu haina hatia nimekueleza vya kutosha ukashupaza shingo
Hebu eleza kosa La Harmonise ni lipi maana hujaeleza Kosa ila umelalamika tu..

Tangu mwanzo umesema mihadarati ila sijaona mahali ukieleza harmonise kafanya kosa gani..

Twende kisomi sasa Na kwa facts harmo kafanya kosa gani? maana ukishindwa kueleza kosa means its Obvious hana kosa..


Biblia.. Isaya 42:14.
Isaya anasema Mungu anaugua Uchungu wa Kuzaa..
Screenshot_20240415_124331_Biblia Takatifu.jpg


Soma tena.
Screenshot_20240415_124258_Biblia Takatifu.jpg

Mungu anasema Watapata kunyonya na watabembelezwa
Screenshot_20240415_124213_Biblia Takatifu.jpg


Mungu anasema Yeye ndiye amekuzaa
Screenshot_20240415_124112_Biblia Takatifu.jpg
Screenshot_20240415_124112_Biblia Takatifu.jpg
Screenshot_20240415_124112_Biblia Takatifu.jpg
Screenshot_20240415_124112_Biblia Takatifu.jpg
Screenshot_20240415_124112_Biblia Takatifu.jpg
 
Point yake ni hii anataka apate wadada wengii huku akiwaminusha hivyoo so wanatoa k bila wasi wasi, jingine kapendeza sana tokea awe na huyo dada
 
Sina mengi ya kuongezea
ila baada ya kuipitia hii taarifa kwa umakini na kwenda kusoma vyanzo mbali mbali kama biblia na quran pamoja na torat ya wayahudi
na kusikiliza pande zote mbili za taarifa hiyo

ninahitimisha kuwa sina cha kuongezea kama nilivyokwisha tangulia kusema hapo awali
 
Leonardo Da Vinci said, history is always written by the winner. Kwenye falsafa yake alikuwa na mtazamo kama huu wa Hermonize, kwamba Macho society took everything from a woman and labelled her as an unintelligent weak creature.
Refer to the bible, where were Maria after the death of her son. Kuna tetesi zinasema ilibidi afichwe kwa usalama wa maisha yake kwasababu ndio kipindi ambacho babylonia took over the history. Kuanzia kipindi hicho mpaka miaka mingine 1500 wanawake wengi Kwenye mashariki ya kati na Ulaya ya kusini waliuwawa kwa kuitwa wachawi kisa tu kujitia kimbelembele kuhusu maswala yanayohusu jamii mbele ya wanaume.
Mtoa mada, badala ya kuhukumu moja kwa moja, jifunze kwanza. Soma vitabu. Hoji. Be curious. Usikubali ndio ndio. Take a good look at everything. Kuhoji si dhambi na ndio anachofanya Harmonize. Kama una majibu sahihi, toa kwa faida ya wote.
 
Hebu eleza kosa La Harmonise ni lipi maana hujaeleza Kosa ila umelalamika tu..

Tangu mwanzo umesema mihadarati ila sijaona mahali ukieleza harmonise kafanya kosa gani..

Twende kisomi sasa Na kwa facts harmo kafanya kosa gani? maana ukishindwa kueleza kosa means its Obvious hana kosa..


Biblia.. Isaya 42:14.
Isaya anasema Mungu anaugua Uchungu wa Kuzaa..
View attachment 2964240

Soma tena.
View attachment 2964241
Mungu anasema Watapata kunyonya na watabembelezwa
View attachment 2964242

Mungu anasema Yeye ndiye amekuzaa
View attachment 2964244View attachment 2964244View attachment 2964244View attachment 2964244View attachment 2964244
HII NI YA MWISHO SITOKUFUNDISHA TENA!!
Kosa la kijana harmonazi lipo hivi?
1.kukufuru kwa kusema anadhani mungu ni wakike kwa kunukuhu kutoka kwenye vitabu vya kidini"kwa mungu amepewa sifa ya kiume kama mungu baba" .angalia hapo labda kama macho yana vidonda .
2. Harmonazi anapotosha jamii kwa kusema kwa ni mwisilamu alafu anafanya hivyo vitendo vya kuvaa madera na herini,siingilii maisha ya mtu ila anachochea na kushawishi wengine.
KWA KUWA ANA NUKUU VITABU VYA DINI VINAVYOTUMIA KUMUELEZEA MUNGU KWA JINSIA YA KIUME "ANAKUFURU".
 

Attachments

  • Screenshot_20240415-204606_Chrome.jpg
    Screenshot_20240415-204606_Chrome.jpg
    54.1 KB · Views: 1
  • Screenshot_20240415-204126_Chrome.jpg
    Screenshot_20240415-204126_Chrome.jpg
    102.1 KB · Views: 1
HII NI YA MWISHO SITOKUFUNDISHA TENA!!
Kosa la kijana harmonazi lipo hivi?
1.kukufuru kwa kusema anadhani mungu ni wakike kwa kunukuhu kutoka kwenye vitabu vya kidini"kwa mungu amepewa sifa ya kiume kama mungu baba" .angalia hapo labda kama macho yana vidonda .
2. Harmonazi anapotosha jamii kwa kusema kwa ni mwisilamu alafu anafanya hivyo vitendo vya kuvaa madera na herini,siingilii maisha ya mtu ila anachochea na kushawishi wengine.
KWA KUWA ANA NUKUU VITABU VYA DINI VINAVYOTUMIA KUMUELEZEA MUNGU KWA JINSIA YA KIUME "ANAKUFURU".
Mpaka Hapo.Hujasema Kosa La Harmonise kwemye Maongezi hayo..
Ila umefanya rejea ya Character ya Harmonise ya matendo yake nje na Maneno aliyoyasema..
"Na kwenye kujadili Mada nafikiri Sio swala la msingi hilo"

Umetoa Hoja bila kuonyesha Kosa la Harmonise kwa Hoja ma Facts na Uthibitisho..
Unasema kutaja Bure wewe Mwenyewe umetaja Bure jina..
Jews hawataji kabisa Jina la Mungu wao wanaita Hasham (Jina ) bhasi..
 
Mpaka Hapo.Hujasema Kosa La Harmonise kwemye Maongezi hayo..
Ila umefanya rejea ya Character ya Harmonise ya matendo yake nje na Maneno aliyoyasema..
"Na kwenye kujadili Mada nafikiri Sio swala la msingi hilo"

Umetoa Hoja bila kuonyesha Kosa la Harmonise kwa Hoja ma Facts na Uthibitisho..
Unasema kutaja Bure wewe Mwenyewe umetaja Bure jina..
Jews hawataji kabisa Jina la Mungu wao wanaita Hasham (Jina ) bhasi..
Dr MJ, tatizo letu ni wengi wetu tumekuwa mahakimu wa kuhukumu watu. Ikiwa Harmonize anajinasibisha kuwa yeye muumini wa dini ya kiislamu, na ametoa maoni yake kuhusu mfumo dume ambao umempelekea yeye kuhisi kuwa baadhi ya imani imemfanya Mungu kuwa (Mungu baba) ni sawa kumpa Mungu jinsia ya kiume, au mwanamke kutoruhusiwa kuolewa na wanaume 2, wakati waislamu wanaume wameruhusiwa kuoa wanawake hadi 4, sasa yeye anaona hiyo ni dhana iliyopandikizwa kwa watu katika kuujenga na kuukuza mfumo dume. Tatizo la Harmonize ni kuchanganya mambo kutokana na imani yake, kwani kuna baadhi ya imani zina amini mungu wa kike, mungu wa mapenzi n.k. Lakini kwa waislamu tafsiri ya Mungu ni kuwa hana mfano na kitu chochote, hilo ndilo kosa pekee alilolifanya kwa kutoa maoni yake hayo ndiyo maana wailsamu ndiyo waliyokwazwa na hicho alichokisema, lakini kwa maoni yangu ilikuwa vizuri Harmonize angeitwa na taasisi inayosimamia mambo ya dini ya imani yake na kumfahamisha kuwa, alichokifanya kinaweza kumtoa kwenye imani na angeelekezwa na kufundishwa kunako upweke wa Mungu. Harmonize amekosa elimu ya tawhid ndiyo maana amepatwa na mkanganyiko wa kumfikiria Mungu huenda akawa na jinsia ya kike.
 
Mpaka Hapo.Hujasema Kosa La Harmonise kwemye Maongezi hayo..
Ila umefanya rejea ya Character ya Harmonise ya matendo yake nje na Maneno aliyoyasema..
"Na kwenye kujadili Mada nafikiri Sio swala la msingi hilo"

Umetoa Hoja bila kuonyesha Kosa la Harmonise kwa Hoja ma Facts na Uthibitisho..
Unasema kutaja Bure wewe Mwenyewe umetaja Bure jina..
Jews hawataji kabisa Jina la Mungu wao wanaita Hasham (Jina ) bhasi..
Kaka harmonazi anakosea sana !! Jiulize what is conspiracy behind the speech? Ndipo utajua anakosea wapi
 
Back
Top Bottom