ndoa inafungiwa mlimani city?my Goodness
Inasemekana msanii Harmonize a.k.a Kondeboy anafunga ndoa leo kwenye ukumbi wa mlimani city.
Inasemekana ndoa ni ya waalikwa wachache sana hata WCB hawajaalikwa.
Mwenye taarifa za uhakika azishushe hapa.
View attachment 1200226View attachment 1200228
Mpelekee hii habari da'Mange chap chap.Inasemekana msanii Harmonize a.k.a Kondeboy anafunga ndoa leo kwenye ukumbi wa mlimani city.
Inasemekana ndoa ni ya waalikwa wachache sana hata WCB hawajaalikwa.
Mwenye taarifa za uhakika azishushe hapa.
View attachment 1200226View attachment 1200228
Firimasoni!!!!!!😛😛😛😛ni kanisa gani hapo mlimani city ama ni msikiti gani hapo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu Umeungana Na warumi Na Hance Mtanashati Maana Wale Hakuna Kinachowapita Hapa Town
Harmonize ndio nani?Inasemekana msanii Harmonize a.k.a Kondeboy anafunga ndoa leo kwenye ukumbi wa mlimani city.
Inasemekana ndoa ni ya waalikwa wachache sana hata WCB hawajaalikwa.
Mwenye taarifa za uhakika azishushe hapa.
View attachment 1200226View attachment 1200228
Ndoa zipo za aina tatu .., sasa hiyo ni ndoa ya aina gani,.?? Ya kidini,bomani au ya mkeka??!!!
Ebue ndo nani????Awe makini yasije kumkuta ya Emmanuel Ebue.