Kingsmann
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 4,805
- 17,850
Inasemekana msanii Harmonize a.k.a Kondeboy anafunga ndoa leo kwenye ukumbi wa mlimani city.
Inasemekana ndoa ni ya waalikwa wachache sana hata WCB hawajaalikwa.
Mwenye taarifa za uhakika azishushe hapa.
—————————————————————
Updates:
Sasa sio tetesi tena, msanii Harmonize amefunga pingu na mpenzi wake wa siku nyingi Sara ambaye ana asili ya Italy.
Sherehe ya harusi imefanyika usiku huu wa tarehe 7/9/2019 katika ukumbi wa uliopo jijini Dar.
[/b]
Inasemekana ndoa ni ya waalikwa wachache sana hata WCB hawajaalikwa.
Mwenye taarifa za uhakika azishushe hapa.
—————————————————————
Updates:
Sasa sio tetesi tena, msanii Harmonize amefunga pingu na mpenzi wake wa siku nyingi Sara ambaye ana asili ya Italy.
Sherehe ya harusi imefanyika usiku huu wa tarehe 7/9/2019 katika ukumbi wa uliopo jijini Dar.