Harmonize aja na wimbo mpya, atangaza yeye ndio Mwalimu wa Amapiano

Harmonize aja na wimbo mpya, atangaza yeye ndio Mwalimu wa Amapiano

Cannabis

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2014
Posts
11,557
Reaction score
33,535
Mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya maarufu kama Bongo Flava Harmonize ametoa wimbo unaoitwa Mang'dakiwe Remix ambao amesema ni Darasa la Amapiano kwa wasanii wengine. Darasa hili la amapiano linakuja wakati Diamond Platnumz amekuwa akitamba na Wimbo wa Amapiano unaoitwa "IYO".

 
Hamonize with Extended Sorry song



Source : Oscar Boy Muziki TV
 
Back
Top Bottom