Harmonize aja na wimbo mpya, atangaza yeye ndio Mwalimu wa Amapiano

Harmonize aja na wimbo mpya, atangaza yeye ndio Mwalimu wa Amapiano

Harmo kaharibu song la watu Mang'dakiwe original ndio wimbo wangu bora wa amapiano hata ringtone nimeuseti..... I'm sorry if I did you wrong
 
Bwana wee,,, acha tu mzee wangu yani wamenigeuza mpira wa kona leo Keko kesho stakishari 😅 awamu ijayo nafikiri itakuwa segerea
Dah unaibuka halafu wanakupoteza tena ...ni kama ile mahakamani unafutiwa mashitaka halafu kabla hujatoka unakamatwa tena unasomewa mashitaka mapya....karibu tena mzee !
 
Dah unaibuka halafu wanakupoteza tena ...ni kama ile mahakamani unafutiwa mashitaka halafu kabla hujatoka unakamatwa tena unasomewa mashitaka mapya....karibu tena mzee !
Asante sana yote ile kuingia jukwaa la siasa
 
Back
Top Bottom