cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Heheheh kaiotea
Inakuwaje kila mara sasa.. ni ban tu unalishwa?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heheheh kaiotea
Eti hata mm naipenda nikiisikia tuu natikisa kiungo chochoteHahahahahaha hili pigo tuliitaje ni upper cut ama
Ule mdundo daaaah hatari ila sandakalawe aiseee huchoki isikiliza
Hapo kwenye chochote, kile kilicho mwilini wako au vijiko, vikombe 😉😉😉😉😎😎😎Eti hata mm naipenda nikiisikia tuu natikisa kiungo chochote
Nimesema kiungo chochote naweza chezesha hata kope mkuu 😀😀😀Hapo kwenye chochote, kile kilicho mwilini wako au vijiko, vikombe 😉😉😉😉😎😎😎
Wabongo kwa kufila mada hawajamboNimesema kiungo chochote naweza chezesha hata kope mkuu 😀😀😀
[emoji16]Amepigwa Ban kweli [emoji1787][emoji1787]
PoleIpi tena mzee [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwani kakosea nini?Amepigwa Ban kweli [emoji1787][emoji1787]
Ulimfanyeje mwenzio mbona kapewa ban la kweliPole
Nikutafutie ban?
Mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya maarufu kama Bongo Flava Harmonize ametoa wimbo unaoitwa Mang'dakiwe Remix ambao amesema ni Darasa la amapiano kwa wasanii wengine. Darasa hili la amapiano linakuja wakati Diamond Platnumz amekuwa akitamba na wimbo wa amapiano unaoitwa "IYO".
Mwamba umelimwa!!!Heheheh kaiotea
Harmo kwasasa ana stress hajijui, kitendo cha kuachana na Sarah sio kidogo, hadi kupita na msmkwe wa Ray ilikuwa kujaribu kujitibu na stress kumbe hapo napo ni mdomo wa mamba, akirufiana na Sarah jamaa atanyooka[emoji2][emoji2]Jamaa ukiacha mambo yake mengine, anajua sana kuimba. Hasa hizi nyimbo za club
Naona uliwezaNikutafutie ban?
Ata wewe ukitakaNaona uliweza
Evelyn Salt ulitaka kujua sababu ya jamaa kupigwa banNikutafutie ban?