😃😃Jamaa ukiacha mambo yake mengine, anajua sana kuimba. Hasa hizi nyimbo za clubHeheheh kaiotea
Nimeipenda sana😃😃Jamaa ukiacha mambo yake mengine, anajua sana kuimba. Hasa hizi nyimbo za club
😃😃😃 Unaiimba huku unapepesuka na chupa yako ya GuinnessNimeipenda sana
Bwana wee, acha tu!😃😃😃 Unaiimba huku unapepesuka na chupa yako ya Guinness
Nikutafutie ban?Bwana wee, acha tu!
Ipi tena mzee 🤣🤣🤣Nikutafutie ban?
Karibu tena. Ban siyo poaIpi tena mzee [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hyo nyimbo ilishapigwa kitambo na alieimba mwanzo dj obza na leon lee ndo walitumia akili kuitengeneza ile nyimbo ila harmonize hajatumia akili yyte wala ubunifu amna kilichobadilika[emoji2][emoji2]Jamaa ukiacha mambo yake mengine, anajua sana kuimba. Hasa hizi nyimbo za club
Toa credit kama nyimbo ni nzuri, alafu its a remix brother ulitaka atumie akili gani sasa?Hyo nyimbo ilishapigwa kitambo na alieimba mwanzo dj obza na leon lee ndo walitumia akili kuitengeneza ile nyimbo ila harmonize hajatumia akili yyte wala ubunifu amna kilichobadilika
Hahahahahaha hili pigo tuliitaje ni upper cut amaToa credit kama nyimbo ni nzuri, alafu its a remix brother ulitaka atumie akili gani sasa?
Amepigwa Ban kweli [emoji1787][emoji1787]Nikutafutie ban?