Harmonize akamshikati Mbosso sababu ame-sample biti yake ya Show Me bila kibali kwenye baikoko

Harmonize akamshikati Mbosso sababu ame-sample biti yake ya Show Me bila kibali kwenye baikoko

mwanamabadiliko

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2010
Posts
938
Reaction score
1,540
WCB bado wanaendeleza tabia yao mbaya ya kuiba mahadhi ya nyimbo za wasanii wengine ndani na nje ya nchi na hivyo kuvunja sheria mbalimbali zinazohusu inshu za hati miliki katika sekta ya Music.

Hivi karibuni mfanyakazi/mwanamuziki wa CEO Diamond platnum ajulikanaye kwa jina la Mbosso, ametoa wimbo unaoitwa Baikoko unaofanya vizuri sehemu mbalimbali.

Lakini katika wimbo huo wa baikoko, kuna uhuni na uwizi umefanyika , kwani viranga hao wa WCB wamesample wimbo wa huyu msanii mla mkuku na mayai yake yaani harmonize, ikiwa wameiba biti ya wimbo wake wa Show me aliomshirikisha rich Mavoko.

Namshauri Tena Harmonize awapeleke Tena WCB polisi au Basata Ili wimbo huo ufungiwe kwa kuvunja sheria za nchi na taratibu kiujumla.

Nyimbo hizi hapa kajionee uwizi

[4/17, 10:54 AM] Hideki Tojo:
[4/17, 10:55 AM] Hideki Tojo:
 
Sidhani kama Harmonize keshamalizana na WCB kuhusiana na Hati Miliki ya kazi alizofanya akiwa chini ya WCB. Pili, hatufahamu terms and conditions za Producer Laizer, pengine Beat ni Mali yake na sio ya Msanii kama alivyokua anafanya Majani(Bongo Rec)
Tatu, Swala la sampling ulimwenguni kwa sasa ni swala la kawaida sana. Muziki hauna mapya.
 
WCB bado wanaendeleza tabia yao mbaya ya kuiba mahadhi ya nyimbo za wasanii wengine ndani na nje ya nchi na hivyo kuvunja sheria mbalimbali zinazohusu inshu za hati miliki katika sekta ya Music.

Hivi karibuni mfanyakazi/mwanamuziki wa CEO Diamond platnum ajulikanaye kwa jina la Mbosso, ametoa wimbo unaoitwa Baikoko unaofanya vizuri sehemu mbalimbali.

Lakini katika wimbo huo wa baikoko , Kuna uhuni na uwizi umefanyika , kwani viranga hao wa WCB wamesample wimbo wa huyu msanii mla mkuku na mayai yake yaani harmonize, ikiwa wameiba biti ya wimbo wake wa Show me aliomshirikisha rich Mavoko.

Namshauri Tena Harmonize awapeleke Tena WCB polisi au Basata Ili wimbo huo ufungiwe kwa kuvunja sheria za nchi na taratibu kiujumla.

Nyimbo hizi hapa kajionee uwizi

[4/17, 10:54 AM] Hideki Tojo:
[4/17, 10:55 AM] Hideki Tojo:

Kwani biti uwa ni mali ya msanii au producer? Hiyo beat ya laizer. Ingekuwa ni mali ya msanii basi beat ya nikusaidieje pro.jay angepata mgao
 
Hiyo beat ya Show Me Aliyetengeza ni Producer Lizer Wa Wcb Pia Na Hyo ya Baikoko Katengeneza Huyo huyo Lizer Hapo Ukimuliza Lizer Kwann Anasample Beat Au Kurudia Beat Atakuambia Anataka Atengeneze Mzki wake Ukisikia Beat Flan Unajua Ni yeye Ashajibia Maswali Ya Kusample Beat
 
Hiyo beat ya Show Me Aliyetengeza ni Producer Lizer Wa Wcb Pia Na Hyo ya Baikoko Katengeneza Huyo huyo Lizer Hapo Ukimuliza Lizer Kwann Anasample Beat Au Kurudia Beat Atakuambia Anataka Atengeneze Mzki wake Ukisikia Beat Flan Unajua Ni yeye Ashajibia Maswali Ya Kusample Beat
Ila zinafanana mno, WCB Kama majizi hivi
 
WCB bado wanaendeleza tabia yao mbaya ya kuiba mahadhi ya nyimbo za wasanii wengine ndani na nje ya nchi na hivyo kuvunja sheria mbalimbali zinazohusu inshu za hati miliki katika sekta ya Music.

Hivi karibuni mfanyakazi/mwanamuziki wa CEO Diamond platnum ajulikanaye kwa jina la Mbosso, ametoa wimbo unaoitwa Baikoko unaofanya vizuri sehemu mbalimbali.

Lakini katika wimbo huo wa baikoko , Kuna uhuni na uwizi umefanyika , kwani viranga hao wa WCB wamesample wimbo wa huyu msanii mla mkuku na mayai yake yaani harmonize, ikiwa wameiba biti ya wimbo wake wa Show me aliomshirikisha rich Mavoko.

Namshauri Tena Harmonize awapeleke Tena WCB polisi au Basata Ili wimbo huo ufungiwe kwa kuvunja sheria za nchi na taratibu kiujumla.

Nyimbo hizi hapa kajionee uwizi

[4/17, 10:54 AM] Hideki Tojo:
[4/17, 10:55 AM] Hideki Tojo:

Biti ni mali ya producer na ndio maa Nikusaidije ya Prof ,baada ya filamu ya Queen of Katwe kutumia biti ya nikusaidije hela alilipwa P Funk na si Prof Jay.
 
Sidhani kama Harmonize keshamalizana na WCB kuhusiana na Hati Miliki ya kazi alizofanya akiwa chini ya WCB. Pili, hatufahamu terms and conditions za Producer Laizer, pengine Beat ni Mali yake na sio ya Msanii kama alivyokua anafanya Majani(Bongo Rec)
Tatu, Swala la sampling ulimwenguni kwa sasa ni swala la kawaida sana. Muziki hauna mapya.
Nasikia alilipa mchongo wote ila beat ni mali ya lizer
 
Nasikia alilipa mchongo wote ila beat ni mali ya lizer
Una uhakika? Ulishawahi kumdikia akitumia nyimbo za WCB ktk jukwaa? Unafikiri anahaha kutoa nyimbo hovyo hovyo tatizo nn?
 
Back
Top Bottom