Harmonize akamshikati Mbosso sababu ame-sample biti yake ya Show Me bila kibali kwenye baikoko

Harmonize akamshikati Mbosso sababu ame-sample biti yake ya Show Me bila kibali kwenye baikoko

Hata Rich Mavoko kuna biti kaibiwa ...sikiliza vizuri hiyo baikoko
 
Namshauri Tena Harmonize awapeleke Tena WCB polisi au Basata Ili wimbo huo ufungiwe kwa kuvunja sheria za nchi na taratibu kiujumla.
Ila zinafanana mno, WCB Kama majizi hivi
Hivi kwa akili zenu mnaamini msanii aliye lebo anaweza kumilikishwa beat?! In most cases, beat ni mali ya producer. Na kwa case label, kuna uwezekano mkubwa beat ikawa ni mali ya lebo.
 
Kwani biti uwa ni mali ya msanii au producer? Hiyo beat ya laizer. Ingekuwa ni mali ya msanii basi beat ya nikusaidieje pro.jay angepata mgao
Inategemea na makubaliano.
Baadhi ya makubaliano niliyoweza kuyasoma kwa uchache kwenye kitabu kinachohusiana na biashara ya muziki ni kama ifuatavyo kwa uchache:
1. Msanii kuchukua beat/song nzima kama ya kwake producer hapati mapato ya ziada isipokuwa kwa kazi aliyoifanya (PRODUCTION PAYMENTS); Msanii hubaki kama mmiliki mkuu.
AU
2. Msanii & Producer kugawana mafao (royalties) kutokana na matumizi ya kazi (song/instrumental/beat):
NIKIMAANISHA mauzo yatokanayo na:
Streaming & downloads (YT, Spotify etc.), MATANGAZO, FILAMU ETC
Nyimbo ikiwa sampled, remixed, re-released na wao wenyewe au msanii mwingine bado watalipwa.
 
Inategemea na makubaliano.
Baadhi ya makubaliano niliyoweza kuyasoma kwa uchache kwenye kitabu kinachohusiana na biashara ya muziki ni kama ifuatavyo kwa uchache:
1. Msanii kuchukua beat/song nzima kama ya kwake producer hapati mapato ya ziada isipokuwa kwa kazi aliyoifanya (PRODUCTION PAYMENTS); Msanii hubaki kama mmiliki mkuu.
AU
2. Msanii & Producer kugawana mafao (royalties) kutokana na matumizi ya kazi (song/instrumental/beat):
NIKIMAANISHA mauzo yatokanayo na:
Streaming & downloads (YT, Spotify etc.), MATANGAZO, FILAMU ETC
Nyimbo ikiwa sampled, remixed, re-released na wao wenyewe au msanii mwingine bado watalipwa.
Kuna kipindi nili msikiliza Lamar na Master Jay walisema duniani kote biti ni mali ya producer anaye itengeneza, msanii pale ni kama anakodishiwa lkn biti si mali yake na ndio maana Nikusaidieje ya Prof Jay, ile hela aliyolipwa Majani baada ya biti yake kutumika kwenye movie moja (jina limenitoka) alicheza Lupita Nyongo mzigo wote alichukua Majani.

Ila kazi ya msanii (nyimbo)ikitumika sehemu yoyote basi mgao unawahusu msanii na producer wa hiyo nyimbo.
 
Back
Top Bottom