ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 2,424
- 4,954
Copy and paste, wanatembelea nyota ya harmoHii Midundo haifanani ila inashabihiana..,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Copy and paste, wanatembelea nyota ya harmoHii Midundo haifanani ila inashabihiana..,
Unatembea na kiwiliwili huku ukimiliki kasha la kuchwa lisilo na ubongo.Nashauri hii vita Ile deadly , bloodly and fatal yaani wasanii waanze kumiliki bastola na machawa nao wamiliki bastola , waanze kuuana ndo heshima utakuja, Kama kina Nipsey, 2pac, big
Kuchwa ndo Nini dada yangu?Unatembea na kiwiliwili huku ukimiliki kasha la kuchwa lisilo na ubongo.
Sijui bibi yangu.Kuchwa ndo Nini dada yangu?
Hahahah kichwa Cha habari chasema Joseph1989 apata mhaho AHAHASijui bibi yangu.
Sawa parasite.Hahahah kichwa Cha habari chasema Joseph1989 apata mhaho AHAHA
WCB bado wanaendeleza tabia yao mbaya ya kuiba mahadhi ya nyimbo za wasanii wengine ndani na nje ya nchi na hivyo kuvunja sheria mbalimbali zinazohusu inshu za hati miliki katika sekta ya Music.
Hivi karibuni mfanyakazi/mwanamuziki wa CEO Diamond platnum ajulikanaye kwa jina la Mbosso, ametoa wimbo unaoitwa Baikoko unaofanya vizuri sehemu mbalimbali.
Lakini katika wimbo huo wa baikoko , Kuna uhuni na uwizi umefanyika , kwani viranga hao wa WCB wamesample wimbo wa huyu msanii mla mkuku na mayai yake yaani harmonize, ikiwa wameiba biti ya wimbo wake wa Show me aliomshirikisha rich Mavoko.
Namshauri Tena Harmonize awapeleke Tena WCB polisi au Basata Ili wimbo huo ufungiwe kwa kuvunja sheria za nchi na taratibu kiujumla.
Nyimbo hizi hapa kajionee uwizi
[4/17, 10:54 AM] Hideki Tojo:
[4/17, 10:55 AM] Hideki Tojo:
Hivi ile beat ya number one kaitengeneza laizer au mniger? Ina signature ya Sezy on this beat signature ya producer flani wa nigeriakufanana Zinafanana Producer Kaishiwa Hana Ubunifu Lizer Hata Ukisikiliza Teamo Ya Rayvanny Na Number One Ya Rayvanny Na Zuchu Utagundua Biti Ni Moja
Nashauri hii vita Ile deadly , bloodly and fatal yaani wasanii waanze kumiliki bastola na machawa nao wamiliki bastola , waanze kuuana ndo heshima utakuja, Kama kina Nipsey, 2pac, big
Hawa WCB wanaimba matusi Sana
WatifKichwa chako ni sanduku la kuhifadhia meno tu, ni mzigo kwa miguu.
Ashamaliza ..wcb kwa roho zao za kishetani wasingekubali kituSidhani kama Harmonize keshamalizana na WCB kuhusiana na Hati Miliki ya kazi alizofanya akiwa chini ya WCB. Pili, hatufahamu terms and conditions za Producer Laizer, pengine Beat ni Mali yake na sio ya Msanii kama alivyokua anafanya Majani(Bongo Rec)
Tatu, Swala la sampling ulimwenguni kwa sasa ni swala la kawaida sana. Muziki hauna mapya.
Hivi ile beat ya number one kaitengeneza laizer au mniger? Ina signature ya Sezy on this beat signature ya producer flani wa nigeria
Kumbe, mimi nlidhani mpopoSio sezy ni zest ni mbongo