Harmonize akamshikati Mbosso sababu ame-sample biti yake ya Show Me bila kibali kwenye baikoko

Nashauri hii vita Ile deadly , bloodly and fatal yaani wasanii waanze kumiliki bastola na machawa nao wamiliki bastola , waanze kuuana ndo heshima utakuja, Kama kina Nipsey, 2pac, big
 
Nashauri hii vita Ile deadly , bloodly and fatal yaani wasanii waanze kumiliki bastola na machawa nao wamiliki bastola , waanze kuuana ndo heshima utakuja, Kama kina Nipsey, 2pac, big
Unatembea na kiwiliwili huku ukimiliki kasha la kuchwa lisilo na ubongo.
 
Asante kwa taarifa mjumbe.
 
kufanana Zinafanana Producer Kaishiwa Hana Ubunifu Lizer Hata Ukisikiliza Teamo Ya Rayvanny Na Number One Ya Rayvanny Na Zuchu Utagundua Biti Ni Moja
Hivi ile beat ya number one kaitengeneza laizer au mniger? Ina signature ya Sezy on this beat signature ya producer flani wa nigeria
 
Nashauri hii vita Ile deadly , bloodly and fatal yaani wasanii waanze kumiliki bastola na machawa nao wamiliki bastola , waanze kuuana ndo heshima utakuja, Kama kina Nipsey, 2pac, big

Kichwa chako ni sanduku la kuhifadhia meno tu, ni mzigo kwa miguu.
 
Ashamaliza ..wcb kwa roho zao za kishetani wasingekubali kitu
 
huyo shortii amechanganyikiwa ...naona haamini kama kajala kamtema sasa amebaki kubweka hovyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…