Harmonize: Akinipenda Mungu inatosha, msikilize hapa

Mwijaku amekataliwa hatakiwi tena kuwa chawa wa Konde ,Maana Kajala alianza kuwaruhusu Waishie tu kibarazani sasa hawataki hata Getini
 
Mwijaku amekataliwa hatakiwi tena kuwa chawa wa Konde ,Maana Kajala alianza kuwaruhusu Waishie tu kibarazani sasa hawataki hata Getini
Nimependa sana alivyofanya Kajala, kakomesha Machawa wooooote alianza na Agrey sasa kaja Mwijaku hatujui na wengine huko....

Hao ndio wafitinishi na wafilisi wa wenzao
 
Nimependa sana alivyofanya Kajala, kakomesha Machawa wooooote alianza na Agrey sasa kaja Mwijaku hatujui na wengine huko....

Hao ndio wafitinishi na wafilisi wa wenzao
Iwe kweli hawataki sio wapitie mlango wa nyuma ,kiukweli Mtu kama chawa hatakiwi
 
n
Mwijaku amekataliwa hatakiwi tena kuwa chawa wa Konde ,Maana Kajala alianza kuwaruhusu Waishie tu kibarazani sasa hawataki hata Getini
do maana mshangazi mzuri kwa vijana wa leo😂 yaani anajua kukaba kama ronado ile mtaachana skuizi ni mtazikana kwa kajala na harmo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…