Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimependa sana alivyofanya Kajala, kakomesha Machawa wooooote alianza na Agrey sasa kaja Mwijaku hatujui na wengine huko....Mwijaku amekataliwa hatakiwi tena kuwa chawa wa Konde ,Maana Kajala alianza kuwaruhusu Waishie tu kibarazani sasa hawataki hata Getini
Iwe kweli hawataki sio wapitie mlango wa nyuma ,kiukweli Mtu kama chawa hatakiwiNimependa sana alivyofanya Kajala, kakomesha Machawa wooooote alianza na Agrey sasa kaja Mwijaku hatujui na wengine huko....
Hao ndio wafitinishi na wafilisi wa wenzao
do maana mshangazi mzuri kwa vijana wa leo😂 yaani anajua kukaba kama ronado ile mtaachana skuizi ni mtazikana kwa kajala na harmoMwijaku amekataliwa hatakiwi tena kuwa chawa wa Konde ,Maana Kajala alianza kuwaruhusu Waishie tu kibarazani sasa hawataki hata Getini