Harmonize ala shavu kutumbuiza nyumbani kwa Rais mstaafu Kikwete mwaka mpya msoga

Harmonize ala shavu kutumbuiza nyumbani kwa Rais mstaafu Kikwete mwaka mpya msoga

KIINGILI SHILINGI NGAPI...WENYE TIMU YAO WAVAMIE?
 
Jk alisemaga anaupenda wimbo wa matatizo, nadhan ndio kilichofanya ampe show
 
View attachment 452299kuna watu wanajua kula bata bwana siyo wengine wanatuletea shida tu.

Ningeona huyo Msanii anatumika kutumbuiza ili kupatikane Pesa za kuyabadilisha maisha ya Watu wa Chalinze ambao ni Masikini wa kutukuka hadi leo ili wapate maendeleo thabiti ningepongeza na kushukuru mno. Kuna siku nilipata bahati ya kupita eneo la huyo Mstaafu na nikatamani hata kulia kwani ukiacha tu hapo anapoishi lakini huko kwingineko mandhari ni mabaya na yanatia aibu na huwezi amini kuwa Mwanakijiji mwenzao aliwahi kuwa Kiongozi wa nchi hii na hata sasa Mwanawe ni Kiongozi wao lakini bado Watu wa Chalinze wanaishi maisha duni na ya Kimasikini sana.
 
kinadada mkamchagulie mwenzenu heren za kumpendeza zaid wakat akijiandaa kwnda kwa jk

Cc,atoo,madam s,miss natafta,joona,miss chagga,Valentine'
 
Ningeona huyo Msanii anatumika kutumbuiza ili kupatikane Pesa za kuyabadilisha maisha ya Watu wa Chalinze ambao ni Masikini wa kutukuka hadi leo ili wapate maendeleo thabiti ningepongeza na kushukuru mno. Kuna siku nilipata bahati ya kupita eneo la huyo Mstaafu na nikatamani hata kulia kwani ukiacha tu hapo anapoishi lakini huko kwingineko mandhari ni mabaya na yanatia aibu na huwezi amini kuwa Mwanakijiji mwenzao aliwahi kuwa Kiongozi wa nchi hii na hata sasa Mwanawe ni Kiongozi wao lakini bado Watu wa Chalinze wanaishi maisha duni na ya Kimasikini sana.
Ulitaka ajenge International Airport kama ile ya Chato sio?! Btw, unaweza kututajia huko kwenu tukaona uzuri wake manake watu wa JF hodari sana a wkukandia kwa wenzenu wakati majority mnatoka kwenye lindi la umaskini tena wa kutisha na vijiji vya hovyo hovyo kuiko maelezo lakini mkiwa JF mnajifanya kiswahili kirefu wakati hamna lolote lile!!!

Eti ukatamani kulia... ni unafiki ulioje huu!!! Yaani unataka kujifanya umezoea maisha ya kitajiri tajiri sio kiasi kwamba kuiona Chalinze ikataka kukuliza?!
 
Zamani ilikua msanii akienda nje anaenda kufanya show kwa ajili ya familia au Tanzanians wachache waliounga nguvu, yale hayakua maendeleo, kama ule mtindo umejirudia na umetufuata chumbani huku ni kuchimbiana kaburi.
Hivi ni mara yako ya kwanza kusikia shows za aina hiyo?!
 
Ningeona huyo Msanii anatumika kutumbuiza ili kupatikane Pesa za kuyabadilisha maisha ya Watu wa Chalinze ambao ni Masikini wa kutukuka hadi leo ili wapate maendeleo thabiti ningepongeza na kushukuru mno. Kuna siku nilipata bahati ya kupita eneo la huyo Mstaafu na nikatamani hata kulia kwani ukiacha tu hapo anapoishi lakini huko kwingineko mandhari ni mabaya na yanatia aibu na huwezi amini kuwa Mwanakijiji mwenzao aliwahi kuwa Kiongozi wa nchi hii na hata sasa Mwanawe ni Kiongozi wao lakini bado Watu wa Chalinze wanaishi maisha duni na ya Kimasikini sana.

mkuu hata wewe unaweza kuhamasisha kesho diamond akaja mkafanya hilo wazo!

ushawahi kushauri kabla? ebu nipe ushahidi

ushawahi kutuma wazo kwa ridhwan...no

unakua kama nzi...ukiona kitu ndo utakizodoa weee
 
Ningeona huyo Msanii anatumika kutumbuiza ili kupatikane Pesa za kuyabadilisha maisha ya Watu wa Chalinze ambao ni Masikini wa kutukuka hadi leo ili wapate maendeleo thabiti ningepongeza na kushukuru mno. Kuna siku nilipata bahati ya kupita eneo la huyo Mstaafu na nikatamani hata kulia kwani ukiacha tu hapo anapoishi lakini huko kwingineko mandhari ni mabaya na yanatia aibu na huwezi amini kuwa Mwanakijiji mwenzao aliwahi kuwa Kiongozi wa nchi hii na hata sasa Mwanawe ni Kiongozi wao lakini bado Watu wa Chalinze wanaishi maisha duni na ya Kimasikini sana.
Mkuu unapoongelea maeneo ambayo vijana wameathirika na madawa ya kulevya chalinze huwezi kuacha kuitaja.....pale mamia ya vijana wameharibika haswaa hadi inatia wasiwasi.
 
Ulitaka ajenge International Airport kama ile ya Chato sio?! Btw, unaweza kututajia huko kwenu tukaona uzuri wake manake watu wa JF hodari sana a wkukandia kwa wenzenu wakati majority mnatoka kwenye lindi la umaskini tena wa kutisha na vijiji vya hovyo hovyo kuiko maelezo lakini mkiwa JF mnajifanya kiswahili kirefu wakati hamna lolote lile!!!

Eti ukatamani kulia... ni unafiki ulioje huu!!! Yaani unataka kujifanya umezoea maisha ya kitajiri tajiri sio kiasi kwamba kuiona Chalinze ikataka kukuliza?!

Leo nimejiapiza nisiwajibu Watu hovyo kwa kuwa nataka kufunga mwaka kwa ustadi uliotukuka ila naona kwa mbali kama vile unataka kubadilisha hiyo nia yangu niliyojipangia leo. Endelea tu kujaa katika ' Frame ' Mkuu ili nifunge mwaka 2016 vizuri na Wewe.
 
Wewe unatakiwa uugue saratani ya makalio


Asante kwa kunisaidia kumjibu. Huyu nimeshindwa kumuelewa hayo maombi anayoniombea ni kwa ubaya upi sijui. Watu wasiopenda kuambiwa ukweli, kusikia ya wengine ni Magaidi.
 
mkuu hata wewe unaweza kuhamasisha kesho diamond akaja mkafanya hilo wazo!

ushawahi kushauri kabla? ebu nipe ushahidi

ushawahi kutuma wazo kwa ridhwan...no

unakua kama nzi...ukiona kitu ndo utakizodoa weee

Naona wana Familia ya ' Mkwere ' sasa mmepewa gadgets ili mnijibu GENTAMYCINE huku JF. Kama upo hapo karibu na Vasco Da Gama hebu niulizie ile Visa yake iliyosababisha azuiwe JNIA ilishapatikana? Na vipi wale ' Jamaa ' wanne waliorudishwa pale Uwanjani tunao Uraiani au bado tumegawana nao Majengo ya Serikali?
 
Leo nimejiapiza nisiwajibu Watu hovyo kwa kuwa nataka kufunga mwaka kwa ustadi uliotukuka ila naona kwa mbali kama vile unataka kubadilisha hiyo nia yangu niliyojipangia leo. Endelea tu kujaa katika ' Frame ' Mkuu ili nifunge mwaka 2016 vizuri na Wewe.
Acha longo longo wewe... taja huko kwenu hapa tujiridhishe kwamba unatoka maisha bora na ndio maana Chalinze ilitaka kukuliza vinginevyo; acha unafiki!
 
Mkuu unapoongelea maeneo ambayo vijana wameathirika na madawa ya kulevya chalinze huwezi kuacha kuitaja.....pale mamia ya vijana wameharibika haswaa hadi inatia wasiwasi.

Charity begins at home.
 
Acha longo longo wewe... taja huko kwenu hapa tujiridhishe kwamba unatoka maisha bora na ndio maana Chalinze ilitaka kukuliza vinginevyo; acha unafiki!

Hebu niulizie ' Wakwere ' hapo je ile tabia yao ya kupenda ' kujisaidia ' maporini na ' kutawazia ' nyasi hadi sasa zimekauka zote wameiacha?
 
....... Watu wasiopenda kuambiwa ukweli, kusikia ya wengine ni Magaidi.
na wewe ahsante kwa kunisaidia kueleza ukweli bila kujua. Kiukweli huyu mtukufu hataki kuambiwa ukweli, kusikia ya wengine hivyo ni GAIDI. nimequote kauli yako usije kuniruka
 
  • Thanks
Reactions: MJJ
na wewe ahsante kwa kunisaidia kueleza ukweli bila kujua. Kiukweli huyu mtukufu hataki kuambiwa ukweli, kusikia ya wengine hivyo ni GAIDI. nimequote kauli yako usije kuniruka


[emoji3][emoji3][emoji3] Tupo pamoja sana
 
Back
Top Bottom