Harmonize alipwa milioni 23 kutumbuiza maonesho matatu nje ya nchi

Harmonize alipwa milioni 23 kutumbuiza maonesho matatu nje ya nchi

Franky Samuel

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2018
Posts
5,195
Reaction score
13,785
Promota wa onesho la CHIMEZIE CHUKWUBUIKE ametoa malalamiko yake juu ya msanii wa Bongofleva Harmonize ambaye kakiuka makubaliano ya kufanya onesho.

“Nilimpa Harmonize pesa Dola elfu kumi kwa ajili ya kufanya maonesho kwenye miji mitatu Nchini Canada. Tulisaini mkataba nikaandaa kumbi.”

Msanii namba 1 Tanzania unalipwa million 23 kutumbuiza maonesho matatu?!

20221020_190229.jpg
 
Kama promota analipia visa, tiketi ya ndege, malazi na vitu vidogo vidogo kwa ajili ya kufanya playback in two weeks unarudi Bongo sio mbaya. Watu wanabeba box kwa miezi mitatu au minne kwa hiyo pesa. We unaenda kukaa wiki mbili Canada unarudi na cash. Tatizo wabongo ubishoo unatuharibu. Hatuko serious na kazi
 
Promota wa shoo CHIMEZIE CHUKWUBUIKE ametoa malalamiko yake juu ya msanii wa Bongofleva Harmonize ambaye kukiuka makubaliano ya kufanya shoo.

“Nilimpa Harmonize pesa Dola elfu kumi kwa ajili ya kufanya shoo kwenye miji mitatu Nchini Canada.Tulisaini mkataba nikaandaa kumbi”



Msanii namba 1 Tanzania unalipwa million 23 kuperform show 3View attachment 2393030View attachment 2393029View attachment 2393032View attachment 2393031
Naomba nieleweshe mkuu Franky Samuel hayo malalamiko ya promota kusuhu msanii Harmonize ni yapi?.
 
1st note, watanzania sisi Lugha ya malikia inatupiga chenga sana...msome kipenge 1.2 muelewe then ndo mtoe mipovu...io 10k ni kwa show ya burundi tu(10k for Harmonize in Burundi), km lugha inasumbua tuambiane tutoe tafasiri sahihi....

2nd mleta thread amefanya kusudi kuweka nusu mkataba ili kuleta sintofahamu,why aweke mkataba nusu?aweke mkataba wote mpaka kwenye signatures...tutaaminije km huu mkataba ni OG na ulisainiwa, just draft or a fake all together.
 
1st note, watanzania sisi Lugha ya malikia inatupiga chenga sana...msome kipenge 1.2 muelewe then ndo mtoe mipovu...io 10k ni kwa show ya burundi tu(10k for Harmonize in Burundi), km lugha inasumbua tuambiane tutoe tafasiri sahihi....
2nd na mleta thread amefanya kusudi kuweka nusu mkataba ili kuleta sintofahamu,why aweke mkataba nusu?aweke mkataba wote mpaka kwenye signatures...tutaaminije km huu mkataba ni OG na ulisainiwa, just draft or a fake all together.
Nildhani ni mimi tu sijui kusoma. Hiyo $10K ni Burundi tu.
 
Promota wa onesho la CHIMEZIE CHUKWUBUIKE ametoa malalamiko yake juu ya msanii wa Bongofleva Harmonize ambaye kakiuka makubaliano ya kufanya onesho.

“Nilimpa Harmonize pesa Dola elfu kumi kwa ajili ya kufanya maonesho kwenye miji mitatu Nchini Canada. Tulisaini mkataba nikaandaa kumbi.”

Msanii namba 1 Tanzania unalipwa million 23 kutumbuiza maonesho matatu?!

View attachment 2393032
Hiyo pesa ni ya Show ya Burundi tuu.. according to maelezo

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Promota wa onesho la CHIMEZIE CHUKWUBUIKE ametoa malalamiko yake juu ya msanii wa Bongofleva Harmonize ambaye kakiuka makubaliano ya kufanya onesho.

“Nilimpa Harmonize pesa Dola elfu kumi kwa ajili ya kufanya maonesho kwenye miji mitatu Nchini Canada. Tulisaini mkataba nikaandaa kumbi.”

Msanii namba 1 Tanzania unalipwa million 23 kutumbuiza maonesho matatu?!

View attachment 2393032
Sijaelewa
Malalamiko ya promoter ni yepi haswa? Huyo Harmo kakiuka kipengele gani cha mkataba?

Naona tunajadili Konde Gang na WCB tu hapa
 
Duh Toronto to Edmonton hata kwa ndege is like 4 hours na zile vurugu za Airport ongeza 4 hours nyingine, na show back to back hakuna day off, too much kwa jeshi lakini show zao ni zile za kupiga playback tuu hakuna kitu wanaimba wala show ya maana, 10g inamtosha aache ujinga
 
Sasa si Bora angebaki wasafi achukue asilimia 40 ...wasafi angekuwa analipwa zaidi ya dollars elfu 50 Kwa show hata akichukua asilimia 40 it's better
Mtu akishasaidika anataka aliemsaidia
Awe chin na yeye ndo awe juu

Yaan unaajir mfanya kaz alaf anataka kuja
Kuwa Bo's wako

Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom