Harmonize ameendelea kutudhihirishia kuwa kuna nguvu ya ushawishi mitandaoni imepungua katika muziki wake

Harmonize ameendelea kutudhihirishia kuwa kuna nguvu ya ushawishi mitandaoni imepungua katika muziki wake

Huyo Rayvany, Lavalava, Mbosso na dada yao Queen darleen wasijidanganye kua ni wasanii wakubwa, ukweli ni kwamba wanabebwa na fan base ya Diamond. Wasanii wa WCB nje ya WCB tunawapoteza.

Nampa credit Harmo kaonyesha yeye ni msanii mkubwa hata akiwa nje ya WCB.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo Rayvany, Lavalava, Mbosso na dada yao Queen darleen wasijidanganye kua ni wasanii wakubwa, ukweli ni kwamba wanabebwa na fan base ya Diamond. Wasanii wa WCB nje ya WCB tunawapoteza.

Nampa credit Harmo kaonyesha yeye ni msanii mkubwa hata akiwa nje ya WCB.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kitu gani umepima ukaona rayvanny au Mboso wakitoka WCB hawawi wasanii wakubwa? Kama issue ya kubebwa na label mbona hata Harmonize kabebwa Sana na label ya WCB
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida aliyekuwa msanii namba mbili WCB na nchini Tanzania kwa ujumla bwana Harmonize ameendelea kutudhihirishia kuwa kuna nguvu ya ushawishi mitandaoni imepungua katika muziki wake baada ya kujitoa kwenye lebo hiyo kubwa Tanzania!

Mara baada ya kuachia Album yake ya kwanza nnje ya WCB na kuachia video ya kwanza MAMA kwenye album hiyo tumeona kwa mara ya kwanza Harmonize akisuasua na kushindwa kufikisha viewers 1M hata baada ya wiki kupita!

Wakati hayo yakiendelea wasanii Rayvanny na Mbosso ambao bado wapo chini ya lebo hiyo kubwa nchini wao wameendelea kumtambia msanii Harmonize kwa kumkibiza mbali sana kwa viewers wengi sana kwa muda mfupi tangu watoe nyimbo zao!

Harmonize juzi aliandika huko instagram kuwa kutokana na kuwa tayari album yake ina video za nyimbo zote atalazimika kuachia video mara baada ya mojawapo kufikisha 1m viewers!
Sasa kutokana na ugumu anaoupata kufika viewers hao ameamua tu kuachia video ya Bedroom hata kabla video ya Mama kufika 1m.

Kwa pamoja tumuunge mkono atoboe sawasawa na yaliyokuwa malengo yake wakati anajitoa USAFINI!!!!View attachment 1402239View attachment 1402240

Sent using Jamii Forums mobile app
Ata Nature inamkataa kabisa angalia apo kwenye Screenshoot yake Mondi katokea uko alikotoka amemshikia Kiuno
 
WCB uchawi, Ulozi, ujanja ujanja , wabeba nyota za watu


Tena Nampa Hongera Kondeboy, angalau nayeye anajitahidi Kuloga ndomaana japo bado anawika wika.

"What is yours will always be yours no matter what "
WCB wanawapenda sana watu kama wewe, haki wakiwaona huwa hadi wanasisimka miili maana wewe ni pesa kubwa sana kwao.😅
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida aliyekuwa msanii namba mbili WCB na nchini Tanzania kwa ujumla bwana Harmonize ameendelea kutudhihirishia kuwa kuna nguvu ya ushawishi mitandaoni imepungua katika muziki wake baada ya kujitoa kwenye lebo hiyo kubwa Tanzania!

Mara baada ya kuachia Album yake ya kwanza nnje ya WCB na kuachia video ya kwanza MAMA kwenye album hiyo tumeona kwa mara ya kwanza Harmonize akisuasua na kushindwa kufikisha viewers 1M hata baada ya wiki kupita!

Wakati hayo yakiendelea wasanii Rayvanny na Mbosso ambao bado wapo chini ya lebo hiyo kubwa nchini wao wameendelea kumtambia msanii Harmonize kwa kumkibiza mbali sana kwa viewers wengi sana kwa muda mfupi tangu watoe nyimbo zao!

Harmonize juzi aliandika huko instagram kuwa kutokana na kuwa tayari album yake ina video za nyimbo zote atalazimika kuachia video mara baada ya mojawapo kufikisha 1m viewers!
Sasa kutokana na ugumu anaoupata kufika viewers hao ameamua tu kuachia video ya Bedroom hata kabla video ya Mama kufika 1m.

Kwa pamoja tumuunge mkono atoboe sawasawa na yaliyokuwa malengo yake wakati anajitoa USAFINI!!!!View attachment 1402239View attachment 1402240

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila hizo ni za kwake MWENYEWE...LAVALAVA NA MBOSO NAO WAJITOE KWANZA NDO TUWAWEKE KWENYE MZANI MMOJA....hongera konde keep going.. Vita ni kubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
alipotoka mlimvimbisha kua ni mkubwa kuliko mondi nae akaanza kuimba majungu ndipo mashabiki wa wcb wakamkacha, naona saivi hata 1m views anawatafta kwa tochi...

kwa muziki wa sasa platform ndo zinajudge ukubwa wa msanii na sio maneno, na hicho ndo kilichomponza kiba akabaki msanii wakawaida.
Kama KIBA MSANII WA KAWAIDA kassim mganga na best naso watakuwa ni wapiga debe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom