Pongezi ziende kwa serikali ya awamu ya 5, hapa kazi tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] AiseeeeePongezi ziende kwa serikali ya awamu ya 5, hapa kazi tu.
Katoto kachidachi!Katoto kana muonekano wa kimakonde kabisa
Hongera zake Raj khan
Watoto wa mtwara kama sura za wachezaj wa senegal.
Iheshimu kazi ya Mungu, dharau haitakusaidia ndugu!Watoto wa mtwara kama sura za wachezaj wa senegal.
Hakuna anayejiumba, acha kufuruWatoto wa mtwara kama sura za wachezaj wa senegal.
Wachezaji wa Senegal hawajaumbwa na Mungu? Ukisema Jumong S anafanana na troublemaker unakuwa umedharau kazi ya Mungu?Iheshimu kazi ya Mungu, dharau haitakusaidia ndugu!
binamu yangu kipenzi hujambo?Wachezaji wa Senegal hawajaumbwa na Mungu? Ukisema Jumong S anafanana na troublemaker unakuwa umedharau kazi ya Mungu?
Unaonaje na sisi tukizaa ka kwetu kenye asili ya kutoka mkoa mmoja hivi kule kanda ya ziwa JoanahKatoto kana muonekano wa kimakonde kabisa
Hongera zake Raj khan
Sijambo binamu za wewebinamu yangu kipenzi hujambo?
me mzima nimekumiss tu binamu.Sijambo binamu za wewe