hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
Hahaha
Pongezi ziende kwa serikali ya awamu ya 5, hapa kazi tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pongezi ziende kwa serikali ya awamu ya 5, hapa kazi tu.
Umenimisije jirani wakati mimi nipo siku zoteme mzima nimekumiss tu binamu.
Mikoa ya kanda ya ziwa ni kama ipi?Unaonaje na sisi tukizaa ka kwetu kenye asili ya kutoka mkoa mmoja hivi kule kanda ya ziwa Joanah
kutwa nzima leo sijakuona ndio nakuona jioni hiiUmenimisije jirani wakati mimi nipo siku zote
Mikoa ya kanda ya ziwa ni kama ipi?
Aaah!sitaki mkuuMwanza, Kagera, Mara, Shinyanga, geita na simiyu
Aaah!sitaki mkuu
Ooh sawa binamu mimi sijambokutwa nzima leo sijakuona ndio nakuona jioni hii
Duuuuh!!
Pongezi ziende kwa serikali ya awamu ya 5, hapa kazi tu.
Mbona mimi nimekataa mpaka sasa wawili na niliwakataa baada ya kuzaliwa ila mimba nilihudumia natumiwa hadi picha navyofanana nao kila mmoja ana mama ake na mambo yangu yanaenda swaaafi kabisa.Katika Maisha Ukisema ukatae Mtoto Ni kama Vile Laana utaona Mambo yako hayafanikiwi kumbe wewe ndo unamakosaa!!
Naomba Msamaha sana kwa Mchumba wangu #SARAH_TZ Kiukwelii sikujua why nimekukosea kiasi hiki lakini Naamini umenielewa na utanisamehe maana siwezi kataa damu yangu na kwa jitihada zangu zote zimetumika mpaka nikampata naomba pia hata mama wa mtoto anaisamehe sana maana tulizaa naye ndio lakini naona mpaka Aibu sana sana ni mali yangu
View attachment 1137486
Halafu anaomba msamaha simple tu[emoji134][emoji134][emoji134]Michepuko haiepukiki..
Mwanaume anakuchora tu,kumbe ana siri zake huko.analea mimba nje
Anakufanya we falasi..mfyuu!
Yeah..simple like that halafu mzigo wa kelele za walimwengu bado utazibeba wewe.Halafu anaomba msamaha simple tu[emoji134][emoji134][emoji134]
Naomba nikuambie ww ni mpumbavu, na kama una familia pole sanaWatoto wa mtwara kama sura za wachezaj wa senegal.
Na mta fugwa sana mnakufuru hivi hawa wanaosema anasura nzuri au ana sura mbaya anatumia kigezo ganiWatoto wa mtwara kama sura za wachezaj wa senegal.
Watoto wa mtwara kama sura za wachezaj wa senegal.
😅😅😅Katoto kana muonekano wa kimakonde kabisa
Hongera zake Raj khan